Lugha Nyingine
Mizigo inayosafirishwa kupitia Bandari ya Tangshan, China yaongezeka kwa asilimia 2.53 kutoka mwaka jana
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 14, 2026
Bandari ya Tangshan katika Mji wa Tangshan, Mkoa wa Hebei, kaskazini mwa China imeshuhudia jumla ya tani milioni 883.99 za mizigo iliyosafirishwa kupitia bandari hiyo katika mwaka 2025, ikiwakilisha ongezeko la asilimia 2.53 ikilinganishwa na kipindi cha mwaka uliotangulia wa 2024.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




