Maonyesho ya "Vilivyotengenezwa katika Mto Nile" yafanyika Atbara, Sudan (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 28, 2026
Maonyesho ya
Picha iliyopigwa Januari 27, 2026 ikionyesha basi la abiria la chapa kutoka China, lililoundwa na Kundi la Kampuni za Viwnada la GIAD linaloonyeshwa kwenye maonyesho mjini Atbara, Jimbo la Mto Nile, Sudan. (Picha na Fayez Elzaki/Xinhua)

Atbara, mji wenye utulivu kiasi katika Jimbo la Mto Nile kaskazini mwa Sudan, linaandaa maonyesho ya "Vilivyotengenezwa katika Mto Nile" ya bidhaa zilizotengenezwa katika eneo la Mto Nile, ambayo yanalenga kuonesha azma ya viwanda ya Sudan katika kuwezesha kuimarisha tena uchumi na kufufua uzalishaji wa taifa, hata katika kipindi hiki ambapo migogoro ya ndani inaendelea nchini humo.

(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)

Picha