Lugha Nyingine
Soko la AI laanzishwa kabla ya Mkutano wa 9 wa Mambo ya Kidijitali wa China mkoani Fujian (6)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 29, 2026
![]() |
| Mtembeleaji akijaribu roboti ya AI ya dawa za jadi za China (TCM) inayoweza kuhamishika kwenye soko la AI katika Kituo cha Mikutano na Maonyesho ya Kimataifa cha Mlango-Bahari cha Fuzhou mkoani Fujian, kusini mashariki mwa China, Aprili 28, 2026. (Xinhua/Lin Shanchuan) |
Soko la AI limeanziswa rasmi jana Jumanne kwenye Kituo cha Mikutano na Maonyesho ya Kimataifa cha Mlango-Bahari cha Fuzhou katika Mji wa Fuzhou, Mkoa wa Fujian, kusini mashariki mwa China, kabla ya Mkutano wa 9 wa Mambo ya Kidijitali wa China ambao utafanyika Fuzhou kuanzia tarehe 29 hadi 30 mwezi huu.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




