Watu wa sehemu mbalimbali nchini China waadhimisha Siku ya Mama

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 11, 2026
Watu wa sehemu mbalimbali nchini China waadhimisha Siku ya Mama
Mfanyakazi akiwaletea wanawake wazee keki kwenye kituo cha huduma ya wazee katika Wilaya ya Tancheng ya Mji wa Linyi, Mkoa wa Shandong, mashariki mwa China, Mei 10, 2026. (Picha na Zhang Chunlei/Xinhua)

Watu wa sehemu mbalimbali nchini China wamewatakia heri na baraka mama zao kwa njia mbalimbali tofauti wakati wa kuadhimisha Siku ya Mama Duniani ya Tarehe10 Mei.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha