Lugha Nyingine
Tamasha la Utalii na Utamaduni la kuadhimisha Siku ya Qixi laanzishwa Chongqing, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 17, 2026
Tamasha la utalii na utamaduni lenye mada kuhusu taa za kijadi zinazoelea lilianza Jumamosi katika Eneo la Rongchang, huko Chongqing, kusini-magharibi mwa China, likihusisha tamasha ya muziki, maandamano na maonyesho mbalimbali ikiwa ni pamoja na fashifashi za chuma kilichoyeyushwa na maonyesho ya chelezo za mianzi.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




