Wakulima wana pilikapilika za msimu wa mavuno kote China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 17, 2026
Wakulima wana pilikapilika za msimu wa mavuno kote China
Mkulima akikausha mahindi kwenye ua wa nyumba yake katika Kijiji cha Fangjialing cha Wilaya inayojiendesha ya Makabila ya Watu na Wamiao, Mkoa wa Guizhou Kusini Magharibi mwa China, Septemba 15, 2026. (Picha na Wang Dong/Xinhua)

Hivi karibuni, wakulima wana pilikapilika za mavuno ya majira ya mpukutiko nchini China.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha