人民网首页

Maoni ya Kimataifa

Rais wa Olimpiki wa Uganda: China itaandaa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi yenye mafanikio

KAMPALA - Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Uganda (UOC) Donald Rukare amesema kuwa China itaandaa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya 2022 yenye mafanikio. "Sote tunajua mazingira mazuri ya China kuandaa mashindano ya Dunia yenye mafanikio makubwa.

CMG yafanya mahojiano na Rais wa Russia

(Picha inatoka CRI.) Mkuu wa Shirika kuu la Utangazaji la China (CMG) ambaye pia ni mhariri mkuu wa Shirika hilo Bw.

Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing kuimarisha mawasiliano ya kirafiki kati ya vijana duniani

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Bw. Ban Ki-moon amesema anaamini kuwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing itapata mafanikio makubwa na kuimarisha mawasiliano ya kirafiki kati ya vijana wa nchi mbalimbali zikiwemo Korea Kusini na China.

Rais wa China Xi Jinping akiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) Thomas Bach katika Jumba la Wageni la Taifa la Diaoyutai mjini Beijing, Mji Mkuu wa China, Januari 25, 2022. (Xinhua/Yao Dawei)

Rais Xi asema China iko tayari kuwasilisha Michezo ya Olimpiki iliyo rahisi, salama na murua

BEIJING - Rais wa China Xi Jinping amemwambia Mwenyekiti wa Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) Thomas Bach ambaye yuko ziarani nchini China kuwa China iko tayari kuwasilisha Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi iliyo rahisi, salama na murua. Xi amekutana na Bach, kwenye Jumba la Wageni la Taifa la Diaoyutai mjini Beijing, siku 10 kabla ya kufunguliwa rasmi kwa Michezo hiyo mnamo Februari 4.

Iliyopita2 3 4 5 6 7 Inayofuata