人民网首页

Maoni ya Kimataifa

Rais wa Zanzibar aunga mkono Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing ya Mwaka 2022

(Picha inatoka ukurasa wa akaunti ya Facebook ya Rais Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi.

Timu ya Olimpiki ya Kanada yatazamia medali kwenye Michezo ya Olimpiki ya Beijing

Mwanamke akiteleza kwenye theluji. (Picha inatoka IC.

Mkuu wa Kamati ya Olimpiki ya Tanzania: Kususia Michezo ya Olimpiki wanaoathirika ni wanamichezo

Filbert Bayi (wa kulia) (Picha inatoka Instagram ya kiofisi ya TOC.) DAR ES SALAAM - Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki ya Tanzania (TOC), Filbert Bayi amesema kwamba kususia Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing Mwaka huu wa 2022 ni kuwaathiri wanamichezo ambao wamekuwa wakijiandaa kwa miaka minne ili kushiriki mashindano hayo yenye hadhi ya juu duniani.

Mhudumu wa treni akionesha zawadi za ukumbusho wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022 kwenye treni ya reli ya kasi ya Beijing-Zhangjiakou Desemba 30, 2021. (Xinhua/Huang Zhen)

WHO yasifia mpango wa kukabiliana na UVIKO-19 wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing

SINGAPORE – Mtaalam Mwandamizi kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), Michael Ryan amesema kwamba, Mipango ya Beijing ya kuhakikisha Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya 2022 mwezi ujao inafanyika kwa usalama wakati wa janga la UVIKO-19 inaonekana kuwa imara. Kwa mujibu wa chombo cha habari cha Lugha ya Kichina nchini Singapore cha Lianhe Zaobao, Mkurugenzi wa Mambo ya Dharura wa WHO Michael Ryan amesema hayo wakati wa mkutano na waandishi wa habari siku ya Alhamisi ya wiki iliyopita.

Iliyopita3 4 5 6 7 Inayofuata