人民网首页

Habari

Masoko mseto yachochea kwa kasi uchumi wa usiku wa China

Mmiliki wa kibanda (wa kwanza kulia) akiuza bidhaa kwenye soko la mtaani lenye mvuto wa kiutamaduni huko Haikou, Mkoa wa Hainan, Kusini mwa China, Februari 19, 2023. (Xinhua/Guo Cheng) HAIKOU - Usiku unapoingia, mtaa wa biashara wa Xixili huko Haikou, mji mkuu wa mkoa wa kisiwa wa Hainan, Kusini mwa China, unaingia kwenye pilikapilika nyingi za maisha.

Mfanyakazi akikausha  majani ya chai katika Wilaya ya Pu'an, Mkoa wa Guizhou, Kusini-Magharibi mwa China, Februari 23, 2023. Ikiwa ni mojawapo ya wilaya zinazozalisha chai huko Guizhou, Wilaya ya Pu'an sasa ina mashamba ya chai yenye eneo la ukubwa wa ekari 125,000 (takriban hekta 8,333.3). Zaidi ya wakulima 70,000 wenyeji  wamefaidika na sekta ya chai. (Xinhua/Yang Wenbin)

Wakulima wanufaika na sekta ya chai katika Wilaya ya Pu'an, Kusini Magharibi mwa China

Li Zhanshu, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Umma la China (NPC), akiongoza kikao cha kwanza cha mkutano wa 39 wa wajumbe wote wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Umma la 13 la China kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing, China, Februari 23, 2023 (Xinhua/Zhang Ling)

Bunge la Umma la China laanza mkutano wa kamati ya kudumu

BEIJING - Kamati ya Kudumu ya Bunge la Umma la 13 la China (NPC), imeanza mkutano wake wa 39 Alhamisi wa kufanya maandalizi kwa ajili ya mkutano wa kwanza wa Bunge la Umma la 14 la China, utakaofunguliwa Machi 5. Li Zhanshu, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Umma la China , ameongoza kikao hicho cha kwanza cha mkutano huo wa 39.

Iliyopita7 8 9 10 11