Kwenye mjadala wa wajumbe wa Mkoa wa Henan wa Bunge la Umma la 13 la China, Li Liancheng ambaye ni mjumbe wa Bunge la 13 la Umma la China akiwakilisha kijiji chake cha Xixinzhuang aliripoti ndoto nane za wakulima kwa Katibu Mkuu wa Chama Xi Jinping. "Wakulima wa China wana ndoto nane.
BEIJING - Kamati Kuu ya 20 ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) imetoa taarifa baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Pili wa wajumbe wote siku ya Jumanne. Xi Jinping, Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, alitoa hotuba muhimu kwenye mkutano huo uliofanyika kwa siku tatu na kuongozwa na Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China.
BEIJING - Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) imefanya mkutano wa mashauriano Jumanne ili kusikiliza maoni na kujulisha vyama vya kisiasa visivyo vya CPC, Shirikisho la Viwanda na Biashara la China (ACFIC) na watu wasio wa chama chochote katika mpango wa mageuzi ya vyombo vya Chama na serikali. Rais Xi Jinping, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya CPC na Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Kijeshi ya China (CMC), aliongoza mkutano huo na kutoa hotuba muhimu.
Asubuhi ya Machi 8, 2018, Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China, Xi Jinping alishiriki kwenye mjadala wa ujumbe wa Mkoa wa Shandong kwenye Bunge la Umma la China, ambapo Wang Yinxiang, Mjumbe wa bunge hilo la umma kutoka Kijiji cha Wulidun kilichoko Mkoa Shandong wa China alitoa hotuba papo hapo. Kutoka kijiji maskini hadi kijiji tajiri huko Yexing Jingmei, ni jinsi gani Kijiji cha Wulidun kilipata maendeleo mazuri? Kuchangia akiba, kuongoza wanakijiji kuhamisha umiliki wa ardhi, kuendeleza shughuli za ufugaji, upandaji wa mboga na maua.