Katika Picha: Watu wakifurahia vyakula vya Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika maeneo mbalimbali ya China (6)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 26, 2023
Katika Picha: Watu wakifurahia vyakula vya Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika maeneo mbalimbali ya China
Watu wakinunua chakula kwenye soko la usiku la Huaiyuan huko Yinchuan, Mkoa unaojiendesha wa Kabila la Wahui wa Ningxia, Kaskazini-Magharibi mwa China, Januari 24, 2023. (Xinhua/Wang Peng)

Watu mbalimbali wanafurahia vyakula vya aina mbalimbali nchini China wakati wa likizo inayoendelea ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha