Katika Picha: Watu wakifurahia vyakula vya Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika maeneo mbalimbali ya China (8)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 26, 2023
Katika Picha: Watu wakifurahia vyakula vya Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika maeneo mbalimbali ya China
Watoto wakionja sukari ya kipamba katika eneo lenye mandhari nzuri katika Wilaya ya Luquan ya Shijiazhuang, Mkoa wa Hebei, Kaskazini mwa China, Januari 24, 2023.

Watu mbalimbali wanafurahia vyakula vya aina mbalimbali nchini China wakati wa likizo inayoendelea ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha