Katika Picha: Watu wakifurahia vyakula vya Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika maeneo mbalimbali ya China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 26, 2023
Katika Picha: Watu wakifurahia vyakula vya Mwaka Mpya wa Jadi wa China katika maeneo mbalimbali ya China
Mpishi akionyesha skonzi za kukaangwa kwenye mkahawa huko Gaomi, Mkoa wa Shandong, Mashariki mwa China, Januari 24, 2023. (Picha na Li Haitao/Xinhua)

Watu mbalimbali wanafurahia vyakula vya aina mbalimbali nchini China wakati wa likizo inayoendelea ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha