Katika picha: Timu ya Madaktari wa China yatoa huduma za afya kwa wenyeji nchini Morocco (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 03, 2023
Katika picha: Timu ya Madaktari wa China yatoa huduma za afya kwa wenyeji nchini Morocco
Daktari Bingwa wa Upasuaji Chen Ji (wa kwanza kulia) kutoka Timu ya Madaktari wa China akimfanyia upasuaji mgonjwa huko Errachidia, Morocco, Februari 3, 2023. (Timu ya Madaktari wa China nchini Morocco/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha