Katika picha: Timu ya Madaktari wa China yatoa huduma za afya kwa wenyeji nchini Morocco (5)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 03, 2023
Katika picha: Timu ya Madaktari wa China yatoa huduma za afya kwa wenyeji nchini Morocco
Daktari wa magonjwa ya macho, Gao Yiling kutoka Timu ya Madaktari wa China akichunguza pua ya mtoto wa kike wakati wa utoaji wa huduma ya matibabu bila malipo huko Chefchaouen, Morocco, Januari 19, 2023. (Timu ya Madaktari wa China nchini Morocco/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha