Katika picha: Timu ya Madaktari wa China yatoa huduma za afya kwa wenyeji nchini Morocco (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 03, 2023
Katika picha: Timu ya Madaktari wa China yatoa huduma za afya kwa wenyeji nchini Morocco
Daktari wa macho Jin Xi kutoka Timu ya Madaktari wa China akipima macho ya mtoto wakati wa utoaji wa huduma za matibabu bila malipo huko Taza, Moroko, Januari 12, 2023. (Timu ya Madaktari wa China nchini Morocco/Xinhua)
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

Picha