

Lugha Nyingine
Wakulima wawa na pilika nyingi za shughuli za kilimo kote China (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 07, 2024
![]() |
Mkulima akilima shamba katika Kijiji cha Maba cha Wilaya ya Wudu ya Mji wa Longnan, Mkoa wa Gansu, Kaskazini-Magharibi mwa China, Machi 5, 2024. (Picha na Ran Chuangchang/Xinhua) |
Wakulima katika mikoa mingi ya China wako katika pilika nyingi mashambani kwa ajili ya ulimaji, upandaji wa mbegu na shughuli nyingine za kilimo cha majira ya mchipuko.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Deng Jie)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma