Wakulima wawa na pilika nyingi za shughuli za kilimo kote China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 07, 2024
Wakulima wawa na pilika nyingi za shughuli za kilimo kote China
Wakulima wakipandikiza miche ya mpunga kwenye mashamba katika Kijiji cha Man'en cha Wilaya ya Menghai, Mkoa wa Yunnan Kusini-Magharibi mwa China, Machi 6, 2024. (Picha na Zuo Lianjiang/Xinhua)

Wakulima katika mikoa mingi ya China wako katika pilika nyingi mashambani kwa ajili ya ulimaji, upandaji wa mbegu na shughuli nyingine za kilimo cha majira ya mchipuko. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Deng Jie)

Picha