

Lugha Nyingine
Miradi ya uhuishaji yaleta uhai mpya katika maeneo ya Mji Tianjin, China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 04, 2025
![]() |
Picha hii iliyopigwa tarehe 29 Mei 2025 ikionyesha eneo la ujenzi wa mradi wa uhuishaji mji katika eneo la Mtaa wa Biashara wa Nanmenwai, mjini Tianjin, kaskazini mwa China. (Xinhua/Sun Fanyue) |
TIANJIN – Mji wa Tianjin, Kaskazini mwa China umetekeleza kikamilifu mpango wa uhuishaji na kuboresha kwa maeneo ya katikati mwa mji katika miaka ya hivi karibuni, ambapo jumla ya maeneo 40 ya mjini yamepangwa hadi kufikia sasa, yakitilia mkazo katika ukarabati wa maeneo ya makazi ya zamani, uhifadhi na matumizi ya mabaki ya maeneo ya kale ya viwanda na utumiaji tena wa miundombinu isiyotumika.
Kupitia mradi huo wa uhuishaji, mji wa Tianjin unalenga kuboresha hali ya maisha ya watu, kuhifadhi na kuenzi urithi wa kihistoria, kuhimiza uhuishaji wa viwanda na kupanua nafasi mpya ya mjini, ikileta uhai kwenye maendeleo bora ya hali ya juu ya mji huo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma