

Lugha Nyingine
Mnara mkuu wa daraja la kuvuka Mfereji Mkuu wa Beijing-Hangzhou washuhudia kukamilika kwa muundo
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 06, 2025
![]() |
Picha iliyopigwa Agosti 5, 2025 ikionesha sehemu ya ujenzi ya daraja la kuvuka Mfereji Mkuu wa Beijing-Hangzhou huko Yangzhou, Mkoani Jiangsu, China. (Xinhua/Ji Chunpeng) |
Mnara mkuu wa daraja hilo lilishuhudia kukamilika kwa ujenzi wa muundo wake Jumanne. Daraja hilo, likiwa na urefu wa mita 564.3, ni mradi muhimu kando ya reli ya mwendo kasi ya Shanghai-Chongqing-Chengdu nchini China.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma