Lugha Nyingine
Peninsula ya Shandong, China yajenga kundi la viwanda vya teknolojia ya hali ya juu kusaidia uchumi wa baharini (5)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Desemba 29, 2025
Katika miaka ya hivi karibuni, Mkoa wa Shandong, Mashariki mwa China umefanya juhudi zaidi za kujenga kundi la viwanda vya teknolojia ya hali ya juu vinavyohusisha uundaji wa meli na zana za uhandisi wa baharini kwenye Peninsula ya Shandong, ukifuata njia ya maendeleo yenye sifa bora yanayotegemea msukumo wa uchumi wa baharini.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




