Maisha ya watu wa kawaida yaendelea kwa hali motomoto katika majira ya baridi (6)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 15, 2026
Maisha ya watu wa kawaida yaendelea kwa hali motomoto katika majira ya baridi
Mandhari ya siku za baridi ya Kijiji cha Shanlige, Wilaya ya Tuanpiaozhuang, Mji Zunhua, Mkoa wa Hebei, Januari 12, 2025. (Xinhua/Liu Mancang)

Maisha ya watu wa sehemu mbalimbali nchini yanaendelea katika hali motomoto, zimeleta joto katika hali ya majira hayo ya baridi katika kipindi cha "San Jiu" katika kalenda ya kilimo ya China, yaani siku tisa mara tatu mfuluzo za baridi kali.

(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)

Picha