Lugha Nyingine
Mji wa bandari wa Dalian kuwa mwenyeji wa Jukwaa la Davos la Majira ya Joto 2026 (8)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 23, 2026
![]() |
| Picha hii iliyopigwa Juni 22, 2026 ikionesha hali ya nje ya Kituo cha Mikutano ya Kimataifa cha Dalian, mahali pa kufanyika kwa Jukwaa la Davos la Majira ya Joto 2026, mjini Dalian, Mkoa wa Liaoning, kaskazini mashariki mwa China. (Xinhua/Pan Yulong |
Jukwaa la Davos la Majira ya Joto 2026 ambalo pia linajulikana kwa jina la Mkutano wa Mwaka wa Mabingwa Wapya wa Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF), litafanyika kuanzia Juni 23 hadi 25 katika mji wa bandari wa Dalian, Mkoa wa Liaoning, kaskazini mashariki mwa China.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




