人民网首页

Habari

Picha ikionesha wachezaji wa Timu ya China, Fan Kexin, Ren Ziwei, Qu Chunyu, Wu Dajing, Zhang Yuting (kutoka kushoto hadi kulia) wakiwa kwenye hafla ya kutunukiwa medali Februari 6. (Picha ilipigwa na Ju Huanzong/Xinhua)

Hafla ya Kutunuku Medali kwa washindi wa Mbio fupi za Kupokezana vijiti za Kuteleza kwa Kasi kwenye Barafu kwa timu za jinsia mchanganyiko

Siku hiyo hafla ya kutunuku medali kwa washindi wa Mbio fupi za kupokezana vijiti za kuteleza kwa kasi kwenye barafu kwa timu za jinsia mchanganyiko kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022 ilifanyika kwenye uwanja wa kutunukia medali ulioko eneo la michezo la Beijing.

Rais wa Uzbekistan Shavkat Mirziyoyev akipunga mkono wakati wa sherehe za ufunguzi wa Michezo ya 24 ya Olimpiki ya Majira ya Baridi kwenye Uwanja wa Taifa wa Beijing, Mji Mkuu wa China, Februari 4, 2022. (Xinhua/Ma Ning)

Habari Picha: Sherehe za Ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022

Washiriki kutoka nchi mbalimbali wapongeza sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Beijing 2022

Fashifashi zikimulika angani usiku wakati wa sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing 2022 kwenye Uwanja wa Taifa wa Beijing wa Kiota cha Ndege, Februari 4, 2022. (Xinhua/Li Xin) BEIJING - Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing 2022 imeanza rasmi Februari 4, na sherehe za ufunguzi, ikiwa ni sehemu ya kufunguliwa kwa pazia la Michezo hiyo, zimesifiwa na kupongezwa na washiriki wa kimataifa.

Rais wa Olimpiki wa Uganda: China itaandaa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi yenye mafanikio

KAMPALA - Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Uganda (UOC) Donald Rukare amesema kuwa China itaandaa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya 2022 yenye mafanikio. "Sote tunajua mazingira mazuri ya China kuandaa mashindano ya Dunia yenye mafanikio makubwa.

Iliyopita9 10 11 12 13 14 Inayofuata