人民网首页

Habari

Siri ya Mafanikio ya China

Ukizungumzia mgawanyo wa nchi duniani katika suala la maendeleo upo katika makundi mawili; yaani nchi zilizoendelea na zinazoendelea, hakuna neno rasmi kwa nchi ambazo hazijaendelea. Ambao wanaendelea na ambao hajawajaendelea na wanazidi kumezwa na wimbi la umaskini wote wapo katika kapu moja la nchi zinazoendelea, lakini katika kapu hilo ambalo bara la Afrika limechangia idadi kubwa kuna wakubwa, tena wakubwa sana.

Ripoti ya Mkutano Mkuu wa 20 wa wajumbe wote wa CPC yakusanya maoni ya watu zaidi ya 4,700

Msemaji wa Mkutano Mkuu wa 20 wa wajumbe wote wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Sun Yeli amesema Jumamosi hapa Beijing kwamba, ripoti itakayotolewa kwenye mkutano huo unaofanyika leo Jumapili Oktoba 16 imekusanya maoni ya watu zaidi ya 4,700.

Taarifa ya Kikao cha 7 cha wajumbe wote cha kamati kuu ya awamu ya 19 ya chama cha Kimomunisiti cha China yatolewa

Kikao cha 7 cha wajumbe wote cha kamati kuu ya awamu ya 19 ya chama cha Kimomunisiti cha China CPC kilifanyika kuanzia Oktoba 9 hadi 12 hapa Beijing. Kikao hicho kimeamua kuwa mkutano wa 20 wa wajumbe wa taifa wa chama cha CPC utafanyika Oktoba 16 hapa Beijing.

Tarehe 13, Oktoba, wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 20 kutoka Mkoa unaojiendesha wa Mongolia ya Ndani wakifika kituo cha treni cha kaskazini cha Beijing kwa kupanda treni ya mwendo kasi.

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 20 wa CPC wafika Beijing kutoka sehemu mbalimbali nchini China

Iliyopita5 6 7 8 9 10 Inayofuata