人民网首页

Habari

Jiang Feng, mkuu wa Ujumbe wa China katika Umoja wa Afrika (AU), akitoa hotuba kwenye mkutano wa kutangaza Maonyesho ya 140 ya Canton katika makao makuu ya AU, Addis Ababa, Ethiopia, Julai 7, 2026. (Xinhua/Geng Xinning)

Maonyesho ya Canton yatangazwa katika AU ili kuunganisha biashara za Afrika na wanunuzi duniani

ADDIS ABABA - Maafisa kutoka China na Umoja wa Afrika (AU) wamesisitiza umuhimu wa Maonyesho ya Uagizaji na Uuzaji Nje Bidhaa ya China, ambayo pia yanajulikana kwa jina la Maonyesho ya Canton, katika kuunganisha biashara za Afrika na wanunuzi, wawekezaji, washirika wa teknolojia, na fursa mpya za kibiashara duniani. Kauli hiyo imetolewa kwenye mkutano uliofanyika Jumanne wiki hii katika makao makuu ya AU mjini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia, ili kutangaza Maonyesho ya 140 ya Canton.

“China Imeweza Kufanikiwa, na Nchi Zingine Zinazoendelea Zinaweza Kufanikiwa Vilevile”

Kutimiza mambo ya kisasa imekuwa ni jitihada isiyokoma ya watu wa China tangu zama za karibuni, na pia ni matarajio ya pamoja ya watu wa mataifa yote duniani. "China imeweza kufanikiwa, na nchi zingine zinazoendelea zinaweza kufanikiwa vilevile.

Makamu Rais wa Afrika Kusini Paul Mashatile akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa kiwanda cha kuzalisha magari cha Chery, Pretoria, Afrika Kusini, Julai 3, 2026. (Xinhua/Chen Wei)

Kampuni ya kuunda magari ya Chery ya China yafungua kiwanda cha kwanza Afrika Kusini, yalenga soko pana la Afrika

PRETORIA, Afrika Kusini - Kampuni ya kuunda magari ya Chery ya China imezindua rasmi kiwanda chake cha kuzalisha magari siku ya Ijumaa huko Rosslyn, kaskazini mwa mji mkuu wa utawala wa Afrika Kusini, Pretoria, ikiashiria mabadiliko yake ya kuwa mzalishaji magari wa nchini humo na kuzidisha dhamira yake ya muda mrefu kwa soko la Afrika Kusini. Akihutubia hafla ya uzinduzi wa kiwanda hicho, Mwenyekiti wa Chery Yin Tongyue amesema uwekezaji huo unaonyesha dhamira ya muda mrefu ya kampuni hiyo kwa Afrika Kusini.

Waziri wa utalii wa Ushelisheli asema uhusiano kati ya Ushelisheli na China utaimarika zaidi katika kipindi cha miaka 50 ijayo

Waziri wa Utalii na Utamaduni wa Ushelisheli Amanda Bernstein akizungumza kwenye mahojiano na Shirika la Habari la China, Xinhua mjini Victoria,Ushelisheli, Juni 25, 2026. (Xinhua/Xie Jianfei) VICTORIA - Waziri wa Utalii na Utamaduni wa Ushelisheli Amanda Bernstein amesema uhusiano kati ya Ushelisheli na China sasa unaingia katika zama mpya ya ushirikiano na maendeleo, hasa katika mawasiliano ya kitamaduni.

Iliyopita1 2 3 4 5 6 Inayofuata