人民网首页

Habari

Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar atarajia uhusiano kati ya nchi hiyo na China kuonesha uhai mpya katika mwaka mpya

Waziri wa Mambo ya Nje wa Madagascar, Christine Razanamahasoa, anatoa hotuba kwenye hafla za vyakula vitamu vya China kwa kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa China mjini Antananarivo, Madagascar, Februari 7, 2026. (Picha na Sitraka Rajaonarison/Xinhua) Waziri wa Mambo ya nje wa Madagascar Christine Razanamahasoa amesema anatarajia uhusiano kati ya nchi hiyo na China utaonesha uhai mpya katika mwaka mpya, na pia ametoa salamu za Mwaka Mpya wa Jadi wa China kwa watu wa China.

Watanzania na Wachina wanaoishi Tanzania washerehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China mjini Dar es Salaam

Mgeni Mtanzania na mtoto wa China wakijaribu kuandika maandiko ya Kichina kwenye Ubalozi wa China huko Dar es Salaam, Tanzania, Februari 6, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman) DAR ES SALAAM, Februari 7 -- Watanzania na Wachina wanaoishi Tanzania walikusanyika katika Ubalozi wa China nchini Tanzania Ijumaa iliyopita wakisherehekea pamoja Sikukuu inayokaribia ya Mwaka Mpya wa Jadi wa China.

Vikaangio na Ndoto: Vijana wa Tanzania Wakumbatia Sanaa ya Upishi wa Kichina

Wanafunzi wa Tanzania wakijifunza kupika baozi kwa mvuke huko Dar es Salaam, Tanzania, Januari 28, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman) DAR ES SALAAM – Ndani ya jiko lenye pilikapilika nyingi katikati ya jiji la Dar es Salaam, Ruth Washima Seni, mwanafunzi kijana wa mambo ya hoteli nchini Tanzania, anajaribu kukata viazi mviringo katika vipande vyembamba kama nywele.

Waziri Mkuu wa Ethiopia Azindua Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Nishati ya Upepo Uliojengwa na Kampuni ya China

Picha hii ya kumbukumbu isiyo na tarehe ikionyesha mandhari ya Kituo cha Kuzalisha Umeme kwa Nishati ya Upepo cha Aysha II katika Jimbo la Somali, Ethiopia. (Kampuni ya Umeme ya Dongfang/kupitia Xinhua) ADDIS ABABA - Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed Jumamosi alizindua mradi wa kipindi cha kwanza wa Kituo cha Kuzalisha Umeme kwa Nishati ya Upepo cha Aysha II katika Jimbo la Somali, akisisitiza kwamba maendeleo ya nishati safi ni kiini cha kazi ya muda mrefu ya kubadilisha mundo wa uchumi wa nchi hiyo.

Iliyopita2 3 4 5 6 7 Inayofuata