人民网首页

Habari

Daktari Mchina akichunguza sikio la binti mwenyeji, Zanzibar, Tanzania, Mei 30, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman)

Timu ya madaktari Wachina yaleta huduma ya afya bila malipo kwa jamii ya Zanzibar, Tanzania

ZANZIBAR - Asubuhi ya Jumamosi yenye mwanga angavu huko Kombeni, nje kidogo ya Jiji la Zanzibar, Tanzania, mfanyakazi wa ulinzi mwenye umri wa miaka 71 Amin Maulid Juma alitoka kwenye Kliniki ya Sinai akiwa na hisia mpya ya unafuu na shukrani. Kwa wiki kadhaa, alikuwa amevumilia usiku mfululizo wa kukosa usingizi kutokana na maumivu ya tumbo yasiyokoma.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa, na Michezo wa Tanzania Paul Makonda akitoa hotuba kwenye saluni ya kitamaduni iliyofanyika Dar es Salaam, Tanzania, Mei 24, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman)

Shughuli ya kitamaduni yazidisha mabadilishano ya kati ya watu na watu ya China na Tanzania

DAR ES SALAAM - Saluni ya kitamaduni iliyofanyika Jumapili jioni jijini Dar es Salaam, Tanzania iliwaleta pamoja wasanii kutoka China na Tanzania na kuonyesha dhahiri ubadilishanaji wa kistaarabu unaolenga kuzidisha uhusiano wa kitamaduni kati ya nchi hizo mbili. Shughuli hiyo, iliyoandaliwa na Ubalozi wa China nchini Tanzania, Kituo cha China cha Ubadilishanaji wa Kimataifa wa Kitamaduni na Kuhimiza Utalii nchini Tanzania, iliwaleta pamoja maafisa wa serikali, wasomi, wasanii, na wajumbe wa jumuiya ya Wachina nchini Tanzania.

Kundi la Mabalozi wa Afrika nchini China waandaa Mapokezi ya Siku ya Afrika Kuadhimisha Miaka 63 ya AU

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China Miao Deyu akihudhuria na kutoa hotuba kwenye hafla iliyoandaliwa na Kundi la Mabalozi wa Afrika nchini China kusherehekea "Siku ya Afrika" mjini Beijing, Mei 25, 2026. (CMFA/People’s Daily Online) Kundi la Mabalozi wa Afrika nchini China (GAAC) limeandaa hafla ya mapokezi ya kidiplomasia ya ngazi ya juu jana Jumatatu jioni mjini Beijing kuadhimisha Siku ya Afrika 2026, ikiwakutanisha Wakuu wa Balozi na wanadiplomasia wa Afrika, mabalozi kutoka makundi mengine ya kikanda, maofisa waandamizi wa Serikali ya China, mawaziri wa Afrika walioko ziarani China, wawakilishi wa mashirika ya kimataifa, wajumbe wa diaspora wa Afrika, viongozi wa kibiashara, wasomi, na marafiki wa muda mrefu wa Afrika nchini China.

Shindano la umahiri wa lugha ya Kichina lafanyika Rwanda

Nkurunziza Tharcisse, mshindi wa fainali ya Rwanda ya Mashindano ya Umahiri wa Lugha ya Kichina ya "Daraja la Lugha ya Kichina" ya mwaka 2026 kwa Wanafunzi wa Vyuo, akipiga picha na Gao Wenqi, Balozi wa China nchini Rwanda, mjini Kigali, Rwanda, Mei 24, 2026. (Xinhua/Liu Youmin) KIGALI - Fainali ya Rwanda ya Mashindano ya Umahiri wa Lugha ya Kichina ya "Daraja la Lugha ya Kichina" ya mwaka 2026 kwa Wanafunzi wa Vyuo na Shule za Sekondari imefanyika Kigali, mji mkuu wa nchi hiyo, Jumapili.

Iliyopita3 4 5 6 7 8 Inayofuata