

Lugha Nyingine
Siku ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupunguza Maafa yaadhimishwa nchini China (8)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 12, 2025
![]() |
Wataalam wa uokoaji wakishiriki katika zoezi la kuigiza uokoaji majini kwenye Ziwa Lvjin katika Mji wa Huaibei, Mkoa wa Anhui, mashariki mwa China, Mei 11, 2025. (Picha na Wan Shanchao/Xinhua) |
China inaadhimisha Siku ya Kitaifa ya Kuzuia na Kupunguza Maafa Tarehe 12 Mei kila mwaka, ambapo shughuli mbalimbali za kutoa elimu kwa umma, kutoa mafunzo na kufanya mazoezi ya kutokea kwenye maafa zinafanywa kote nchini China ili kuongeza uelewa wa umma katika kuzuia na kujiokoa kwa njia ya kisayansi kwenye majanga.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Upandaji mahindi waingia kipindi cha kilele katika Mkoa wa Mongolia ya Ndani, China
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma