Wanafunzi wa Kimataifa wahudhuria washiriki shughuli za kitamaduni kabla ya Sikukuu ya Duanwu mjini Chongqing, China (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Mei 29, 2025
Wanafunzi wa Kimataifa wahudhuria washiriki shughuli za kitamaduni kabla ya Sikukuu ya Duanwu mjini Chongqing, China
Mwanafunzi wa Russia (watatu kushoto) na mwanafunzi wa Kazakhstan (wa tatu kulia) kutoka Chuo Kikuu cha Chongqing wakijaribu kupika Ciba, keki ya jadi ya wali wa kunata katika mji wa kale wa Fengsheng wa Eneo la Banan la Mji wa Chongqing, kusini-magharibi mwa China, Mei 28, 2025. (Xinhua/Chen Cheng)

Wakazi wenyeji na wanafunzi wa kimataifa zaidi ya 200 kutoka Chuo Kikuu cha Chongqing katika Mji wa Chongqing, China wameshiriki katika shughuli ya kujaribu na kuuhisi utamaduni kabla ya Sikukuu ya Duanwu.

Sikukuu ya Duanwu pia inajulikana ni Sikukuu ya Mashua ya Dragon, ikiwa moja kati ya sikukuu za jadi za China. Sikukuu hiyo husherehekewa kila ifikapo siku ya tano ya mwezi wa tano kwa kalenda ya kilimo ya China, na mwaka huu itakuwa tarehe 31, Mei.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha