Maonyesho ya Da Vinci yafunguliwa kwenye Jumba la Makumbusho ya Historia ya Kiasili la China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 06, 2025
Maonyesho ya Da Vinci yafunguliwa kwenye Jumba la Makumbusho ya Historia ya Kiasili la China
Mtembeleaji maonyesho akitazama ubao kionyeshi kwenye maonyesho ya "Mapatano kupitia Muda na Nafasi: Jinsi Leonardo da Vinci Alivyounda Masikilizano kati ya Dunia yake ya Kisanaa na Kisayansi na Dunia ya Kiasili" kwenye Jumba la Makumbusho ya Historia ya Kiasili la China mjini Beijing, mji mkuu wa China, Juni 5, 2025. (Xinhua/Chen)

Maonyesho ya "Mapatano kupitia Muda na Nafasi: Jinsi Leonardo da Vinci Alivyounda Masikilizano kati ya Dunia yake ya Kisanaa na Kisayansi na Dunia ya Kiasili” yamefunguliwa jana Alhamisi mjini Beijing, mji mkuu wa China na yataendelea hadi Oktoba 19.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha