人民网首页

Habari

Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China lafanya kikao cha pili katika mkutano wa mwaka

(Picha inatoka Tovuti ya Shirika la Habari la China Xinhua.) Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China (CPPCC), likiwa ni chombo cha ngazi ya juu cha kutoa ushauri wa kisiasa nchini China, jana Jumatatu lilifanya kikao cha pili katika mkutano wake wa mwaka.

Nchi takriban mia moja zaunga mkono pendekezo la maendeleo ya dunia

Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi amesema, pendekezo alilotoa rais Xi Jinping kuhusu maendeleo ya dunia linalingana na mahitaji ya pande zote, ambalo limeungwa mkono haraka na Umoja wa Mataifa pamoja na nchi karibu mia moja. Amesisitiza kuwa China inapenda kushirikiana na nchi zote katika kutekeleza vizuri pendekezo hilo muhimu, na kutoiacha nyuma nchi yoyote, ili kujenga kwa pamoja Jumuiya ya Maendeleo ya Pamoja ya Dunia.

Waziri Mkuu wa China asisitiza kuhakikisha kwa hatua madhubuti maendeleo mazuri na endelevu ya kiuchumi na kijamii

BEIJING - Waziri Mkuu wa China Li Keqiang Jana Jumapili amesisitiza kufanya juhudi za pamoja na kwa hatua madhubuti ili kuhakikisha maendeleo mazuri na endelevu ya kiuchumi na kijamii. Waziri Mkuu wa China Li Keqiang, ambaye pia ni Mjumbe wa Kudumu ya Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, akishiriki kwenye majadiliano ya kikundi cha wajumbe wa Mkoa unaojiendesha wa Guangxi kwenye Mkutano wa Tano cha Bunge la Umma la 13 la China mjini Beijing, Mji Mkuu wa China, Machi 6, 2022.

Rais Xi Jinping asisitiza umuhimu wa upatikanaji wa bidhaa za kilimo, na kujenga mfumo madhubuti wa huduma za jamii

(Picha inatoka CRI.) Rais Xi Jinping wa China amesisitiza umuhimu wa kuzingatia ipasavyo kuboresha uwezo wa uzalishaji wa kilimo, na kuendelea na juhudi za kuhimiza maendeleo ya kiwango cha juu ya huduma za jamii.

Iliyopita2 3 4 5 6 7 Inayofuata