人民网首页

Uongozi wa CPC wapanga mikakati ya kutekeleza kanuni elekezi za Mkutano wake Mkuu

Rashid Kejo kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la China wakati wa Mkutano Mkuu wa 19 wa Chama cha Kikomunisti cha China. (Picha ilitolewa na mhojiwa.)

Mwandishi wa Habari Rashid Kejo: China imetimiza ahadi zake kwa vitendo

Rashid Kejo kwenye Jumba Kuu la Mikutano ya Umma la China wakati wa Mkutano Mkuu wa 19 wa Chama cha Kikomunisti cha China. (Picha ilitolewa na mhojiwa.…

Uongozi wa CPC wapanga mikakati ya kutekeleza kanuni elekezi za Mkutano wake Mkuu

BEIJING - Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) siku ya Jumanne ilifanya mkutano ili kuweka mikakati na mipango ya kusoma, kueneza na kutekeleza kanuni elekezi za Mkutano Mkuu wa 20 wa CPC uliomalizika hivi karibuni. Xi Jinping, Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, ameongoza kikao hicho, ambacho pia kilijadili kanuni za kuimarisha na kulinda uongozi wa pamoja wa Kamati Kuu ya Chama, na kanuni za kina za utekelezaji wa uamuzi wa mambo mnane kuhusu mwenendo wa kazi.…

Msomi wa Eritrea asema Chama cha CPC kina uwezo mkubwa wa utawala

Msomi kutoka nchini Eritrea Dr. Henok Neguse Negash amesema Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) kina uwezo mkubwa wa utawala.…

Rais wa Tanzania ampongeza Xi Jinping kwa kuchaguliwa tena kuwa Katibu Mkuu wa CPC

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pongeza kwa rais Xi Jinping wa China kwa kuchaguliwa tena kuwa Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China.…