

Lugha Nyingine
Madaraja mjini Lhasa yaonesha maendeleo ya Xizang (4)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 06, 2025
![]() |
Picha hii ya kumbukumbu iliyopigwa Agosti 25, 1965 inaonyesha sherehe za uzinduzi wa Daraja la Lhasa huko Lhasa, kusini-magharibi mwa Mkoa unaojiendesha wa Xizang, China. (Xinhua) |
LHASA, Agosti 5 (Xinhua) -- Daraja la kwanza kwenye Mto Lhasa lilijengwa huko Lhasa, kusini-magharibi mwa Mkoa unaojiendesha wa Xizang, China katika miaka ya 1950, na kukomesha matumizi ya vivuko vya ngozi vya kondoo. Kwa sasa kuna madaraja mengi mjini Lhasa, yanayoonyesha maendeleo ya haraka ya eneo hilo katika uchukuzi na maendeleo ya miji.
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma