人民网首页
Wataalamu kutoka Bangladesh na China wakihudhuria mkutano wa majadiliano huko Dhaka, Bangladesh, Mei 20, 2024. (Xinhua)

Ushirikiano wa BRI unakumbatia mwelekeo wa kihistoria wa utandawazi wa kiuchumi: Wataalam

Wataalamu kutoka Bangladesh na China wakihudhuria mkutano wa majadiliano huko Dhaka, Bangladesh, Mei 20, 2024. (Xinhua) DHAKA - Ushirikiano wa Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) unaendana na mwelekeo wa kihistoria wa utandawazi wa kiuchumi, unaitikia wito wa kuboresha mfumo wa usimamizi wa kimataifa, na unakidhi matarajio ya watu kwa maisha bora ambayo ni sababu kuu ya kwa nini umekuwa na nguvu siku zote, wamesema wataalamu wa Bangladesh.…

Picha hii iliyopigwa Oktoba 14, 2023 ikionyesha mapambo ya maua kwa ajili ya Mkutano wa 3 wa Baraza la Ushirkiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRF) karibu na Kituo cha Mikutano cha Taifa cha China mjini Beijing, China. (Xinhua/Ju Huanzong)

Zaidi ya nusu ya miradi ya ushirikiano iliyofikiwa kwenye Mkutano wa BRF yaanza kutekelezwa

Picha hii iliyopigwa Oktoba 14, 2023 ikionyesha mapambo ya maua kwa ajili ya Mkutano wa 3 wa Baraza la Ushirkiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRF) karibu na Kituo cha Mikutano cha Taifa cha China mjini Beijing, China. (Xinhua/Ju Huanzong) BEIJING - Zaidi ya nusu ya jumla ya miradi 369 ya ushirikiano iliyofikiwa kwenye Mkutano wa 3 wa Baraza la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRF) imeanza kutekelezwa kwa sasa, kwa mujibu wa taarifa ya Kamati ya Taifa ya Maendeleo na Mageuzi ya China (NDRC) iliyotolewa siku ya Alhamisi.…

Picha hii ya angani iliyopigwa Aprili 26, 2023 ikionyesha eneo la ujenzi wa Reli Kiunganishi ya Pwani ya Mashariki (ECRL), mradi mkubwa wa miundombinu chini ya Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) mjini Kelantan, Malaysia. (Xinhua/Zhu Wei)

BRI yaleta muunganisho ulioimarishwa kwa maendeleo na ustawi wa pamoja: wataalam

KUALA LUMPUR – Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) lililotolewa na China limesonga mbele muongo mmoja tangu kuzinduliwa kwake na linaendelea kukua katika wigo na kiwango, na kuleta muunganisho bora wa miundombinu kwa maendeleo na ustawi wa pamoja, wataalam wamesema kwenye kongamano la kimataifa lililofanyika Kuala Lumpur, Malaysia. Kwenye ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Asia Mpya Jumuishi (IFNIA) 2023 siku ya Jumatatu, Ong Tee Keat, Mkuu wa Taasisi ya Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja ya Asia Pasifiki ametoahotuba akisifu mafanikio madhubuti yaliyofikiwa na BRI katika muongo mmoja uliopita.…