KUALA LUMPUR – Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) lililotolewa na China limesonga mbele muongo mmoja tangu kuzinduliwa kwake na linaendelea kukua katika wigo na kiwango, na kuleta muunganisho bora wa miundombinu kwa maendeleo na ustawi wa pamoja, wataalam wamesema kwenye kongamano la kimataifa lililofanyika Kuala Lumpur, Malaysia.
Kwenye ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Asia Mpya Jumuishi (IFNIA) 2023 siku ya Jumatatu, Ong Tee Keat, Mkuu wa Taasisi ya Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja ya Asia Pasifiki ametoahotuba akisifu mafanikio madhubuti yaliyofikiwa na BRI katika muongo mmoja uliopita.…
…
Kikiwa kinapatikana katika Eneo linalojiendesha la Kabila la Watajik la Taxkorgan, Mkoa unaojiendesha wa Xinjiang, Kaskazini-Magharibi mwa China, Kivuko cha Khunjerab ni bandari kuu ya nchi kavu kwenye mpaka wa China na Pakistani, kituo kikuu cha biashara kati ya China na Pakistani, na lango muhimu la kuingia Asia Kusini na Ulaya.
Tangu kuanza upya kwa utoaji vibali vya forodha kwa abiria Mwezi Aprili 3, 2023, Kivuko cha Khunjerab kimerekodi abiria zaidi ya 40,000 wanaoingia na kutoka.…
DAR ES SALAAM - Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, amesema China inatarajia kuendelea kuhimiza ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja na Tanzania, ili kwa pamoja kuendeleza mustakabali mzuri wa baadaye wa maendeleo ya kisasa.
Balozi Chen ameyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo aliwasilisha taarifa ya matokeo ya Mkutano wa Baraza la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja uliofanyika Beijing, China uliofanyika Beijing, China wiki iliyopita.…
Baraza la 3 la Ushirikiano wa Kimataifa wa “Ukanda Mmoja, Njia Moja”(BRF)utafanyika Beijing kuanzia Oktoba 17 hadi 18.…
Mwaka huu unasadifiana na miaka kumi tangu pendekeo la ujenzi wa pamoja wa "Ukanda Mmoja, Njia Moja" litolewe. Katika miaka kumi iliyopita, ushirikiano chini ya Pendekezo la "Ukanda Mmoja, Njia Moja" umepata mafanikio mengi, na mfululizo wa miradi alama imekamilika kusaidia maendeleo ya nchi mbalimbali na kuleta manufaa halisi kwa watu wa nchi zote.…
Oktoba 3, 2013, China ilitoa pendekezo la kujenga kwa pamoja Njia ya Hariri ya Baharini ya Karne ya 21. Pendekezo hilo pamoja na lile la Ukanda wa Kiuchumi wa Njia ya Hariri, lililotolewa na China mwaka huo huo yameunda “Ukanda Mmoja, Njia Moja”, na kufungua ukurasa mpya katika ushirikiano wa kimataifa.…
Mwaka 2017, reli ya SGR, iliyojengwa na kuendeshwa na Shirika la Ujenzi wa Barabara na Daraja la China, ilifunguliwa rasmi kwa matumizi ya umma. Ikiwa ni reli ya kwanza kujengwa tangu Kenya ipate uhuru wake, reli hiyo inatembea umbali wa kilomita 480 kati ya mji mkuu wa Kenya, Nairobi na mji wa bandari wa Mombasa.…
KUALA LUMPUR – Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) lililotolewa na China limesonga mbele muongo mmoja tangu kuzinduliwa kwake na linaendelea kukua katika wigo na kiwango, na kuleta muunganisho bora wa miundombinu kwa maendeleo na ustawi wa pamoja, wataalam wamesema kwenye kongamano la kimataifa lililofanyika Kuala Lumpur, Malaysia.
Kwenye ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Asia Mpya Jumuishi (IFNIA) 2023 siku ya Jumatatu, Ong Tee Keat, Mkuu wa Taasisi ya Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja ya Asia Pasifiki ametoahotuba akisifu mafanikio madhubuti yaliyofikiwa na BRI katika muongo mmoja uliopita.…
…
Kikiwa kinapatikana katika Eneo linalojiendesha la Kabila la Watajik la Taxkorgan, Mkoa unaojiendesha wa Xinjiang, Kaskazini-Magharibi mwa China, Kivuko cha Khunjerab ni bandari kuu ya nchi kavu kwenye mpaka wa China na Pakistani, kituo kikuu cha biashara kati ya China na Pakistani, na lango muhimu la kuingia Asia Kusini na Ulaya.
Tangu kuanza upya kwa utoaji vibali vya forodha kwa abiria Mwezi Aprili 3, 2023, Kivuko cha Khunjerab kimerekodi abiria zaidi ya 40,000 wanaoingia na kutoka.…
DAR ES SALAAM - Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, amesema China inatarajia kuendelea kuhimiza ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja na Tanzania, ili kwa pamoja kuendeleza mustakabali mzuri wa baadaye wa maendeleo ya kisasa.
Balozi Chen ameyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo aliwasilisha taarifa ya matokeo ya Mkutano wa Baraza la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja uliofanyika Beijing, China uliofanyika Beijing, China wiki iliyopita.…
KUALA LUMPUR – Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) lililotolewa na China limesonga mbele muongo mmoja tangu kuzinduliwa kwake na linaendelea kukua katika wigo na kiwango, na kuleta muunganisho bora wa miundombinu kwa maendeleo na ustawi wa pamoja, wataalam wamesema kwenye kongamano la kimataifa lililofanyika Kuala Lumpur, Malaysia.
Kwenye ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Asia Mpya Jumuishi (IFNIA) 2023 siku ya Jumatatu, Ong Tee Keat, Mkuu wa Taasisi ya Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja ya Asia Pasifiki ametoahotuba akisifu mafanikio madhubuti yaliyofikiwa na BRI katika muongo mmoja uliopita.…
…
Kikiwa kinapatikana katika Eneo linalojiendesha la Kabila la Watajik la Taxkorgan, Mkoa unaojiendesha wa Xinjiang, Kaskazini-Magharibi mwa China, Kivuko cha Khunjerab ni bandari kuu ya nchi kavu kwenye mpaka wa China na Pakistani, kituo kikuu cha biashara kati ya China na Pakistani, na lango muhimu la kuingia Asia Kusini na Ulaya.
Tangu kuanza upya kwa utoaji vibali vya forodha kwa abiria Mwezi Aprili 3, 2023, Kivuko cha Khunjerab kimerekodi abiria zaidi ya 40,000 wanaoingia na kutoka.…
DAR ES SALAAM - Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, amesema China inatarajia kuendelea kuhimiza ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja na Tanzania, ili kwa pamoja kuendeleza mustakabali mzuri wa baadaye wa maendeleo ya kisasa.
Balozi Chen ameyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo aliwasilisha taarifa ya matokeo ya Mkutano wa Baraza la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja uliofanyika Beijing, China uliofanyika Beijing, China wiki iliyopita.…
KUALA LUMPUR – Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) lililotolewa na China limesonga mbele muongo mmoja tangu kuzinduliwa kwake na linaendelea kukua katika wigo na kiwango, na kuleta muunganisho bora wa miundombinu kwa maendeleo na ustawi wa pamoja, wataalam wamesema kwenye kongamano la kimataifa lililofanyika Kuala Lumpur, Malaysia.
Kwenye ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Asia Mpya Jumuishi (IFNIA) 2023 siku ya Jumatatu, Ong Tee Keat, Mkuu wa Taasisi ya Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja ya Asia Pasifiki ametoahotuba akisifu mafanikio madhubuti yaliyofikiwa na BRI katika muongo mmoja uliopita.…
…
Kikiwa kinapatikana katika Eneo linalojiendesha la Kabila la Watajik la Taxkorgan, Mkoa unaojiendesha wa Xinjiang, Kaskazini-Magharibi mwa China, Kivuko cha Khunjerab ni bandari kuu ya nchi kavu kwenye mpaka wa China na Pakistani, kituo kikuu cha biashara kati ya China na Pakistani, na lango muhimu la kuingia Asia Kusini na Ulaya.
Tangu kuanza upya kwa utoaji vibali vya forodha kwa abiria Mwezi Aprili 3, 2023, Kivuko cha Khunjerab kimerekodi abiria zaidi ya 40,000 wanaoingia na kutoka.…
DAR ES SALAAM - Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, amesema China inatarajia kuendelea kuhimiza ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja na Tanzania, ili kwa pamoja kuendeleza mustakabali mzuri wa baadaye wa maendeleo ya kisasa.
Balozi Chen ameyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo aliwasilisha taarifa ya matokeo ya Mkutano wa Baraza la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja uliofanyika Beijing, China uliofanyika Beijing, China wiki iliyopita.…
KUALA LUMPUR – Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI) lililotolewa na China limesonga mbele muongo mmoja tangu kuzinduliwa kwake na linaendelea kukua katika wigo na kiwango, na kuleta muunganisho bora wa miundombinu kwa maendeleo na ustawi wa pamoja, wataalam wamesema kwenye kongamano la kimataifa lililofanyika Kuala Lumpur, Malaysia.
Kwenye ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Asia Mpya Jumuishi (IFNIA) 2023 siku ya Jumatatu, Ong Tee Keat, Mkuu wa Taasisi ya Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja ya Asia Pasifiki ametoahotuba akisifu mafanikio madhubuti yaliyofikiwa na BRI katika muongo mmoja uliopita.
Kikiwa kinapatikana katika Eneo linalojiendesha la Kabila la Watajik la Taxkorgan, Mkoa unaojiendesha wa Xinjiang, Kaskazini-Magharibi mwa China, Kivuko cha Khunjerab ni bandari kuu ya nchi kavu kwenye mpaka wa China na Pakistani, kituo kikuu cha biashara kati ya China na Pakistani, na lango muhimu la kuingia Asia Kusini na Ulaya.
Tangu kuanza upya kwa utoaji vibali vya forodha kwa abiria Mwezi Aprili 3, 2023, Kivuko cha Khunjerab kimerekodi abiria zaidi ya 40,000 wanaoingia na kutoka.
DAR ES SALAAM - Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, amesema China inatarajia kuendelea kuhimiza ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja na Tanzania, ili kwa pamoja kuendeleza mustakabali mzuri wa baadaye wa maendeleo ya kisasa.
Balozi Chen ameyasema hayo kwenye mkutano na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo aliwasilisha taarifa ya matokeo ya Mkutano wa Baraza la Tatu la Ushirikiano wa Kimataifa wa Ukanda Mmoja, Njia Moja uliofanyika Beijing, China uliofanyika Beijing, China wiki iliyopita.