Nchi wanachama wa BRICS ambazo ni pamoja na Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini zimekubaliana kuzidisha ushirikiano ili kufikia uimarikaji endelevu na jumuishi kwenye sekta ya utalii.
Nchi hizo zimeeleza hayo katika taarifa ya pamoja iliyosainiwa kwenye mkutano wa mawaziri wa utalii wa nchi za BRICS iliyotolewa siku ya Jumanne mjini Cape Town.…
LUANDA - Ushirikiano wa dhati wa China na nchi za Afrika unazaa "matunda yanayoonekana na ya kuhimiza juhudi" ambayo yanaleta manufaa ya pande zote na maendeleo kwa pamoja, amesema mtaalam wa Angola.
Kwenye ushirikiano kati yake na Afrika, China imeweka msingi muhimu wa miundombinu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika bara zima, na hivyo kuleta ukuaji wa viwanda na kuongeza thamani ya kibiashara ya bara la Afrika, amesema Osvaldo Mboco, mtaalam wa uhusiano wa kimataifa wa Chuo Kikuu cha Ufundi cha Angola katika mahojiano yake kwa njia ya maandishi na Shirika la Habari la China, Xinhua kufuatia Mazungumzo ya Viongozi Wakuu wa China na Afrika yaliyofanyika Alhamisi nchini Afrika Kusini.…
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Huduma za Jamii nchini Ethiopia Mukerrim Miftah amesema, hatua ya nchi hiyo kujiunga na BRICS inatarajiwa kuchochea kidhahiri ukuaji wa uchumi na kuimarisha manufaa yake ya kunufaishana ya kikanda.
Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la China Xinhua, Miftah amesema hatua hii ni ya msingi kwa sababu kadhaa, ikiwemo kuisaidia Ethiopia kujenga ushirikiano wa nguvu wa kiuchumi na kisiasa na nchi wanachama wa BRICS, kusaidia uhusiano mzuri wa uchumi, biashara na uwekezaji kati yake na nchi mpya na zile zilizopo katika kundi la BRICS.…
Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa China katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Profesa Humphrey Moshi.(Picha na mhojiwa)
Mkutano wa 15 wa viongozi wakuu wa nchi za Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini (BRICS) umefanyika kuanzia tarehe 22 hadi 24 Agosti huko Johannesburg, Afrika Kusini, kaulimbiu ya mkutano huo ni “BRICS na Afrika: kuimarisha uhusiano wa wenzi, kuhimiza ongezeko kwa kila upande, kutimiza maendeleo endelevu, kuimarisha ushirikiano wa pande nyingi wa kijumuishi”.…
Picha hii iliyopigwa Mei 22, 2023 ikionyesha mandhari ya kiwanda cha Teknolojia ya Tairi cha General cha Cambodia katika Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) katika Mkoa wa Preah Sihanouk, Cambodia. (Picha na Ly Lay/Xinhua)
PHNOM PENH - Thamani ya uagizaji na uuzaji nje wa bidhaa kupitia Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) nchini Cambodia ilifikia dola za kimarekani bilioni 3.…
Nchi wanachama wa BRICS ambazo ni pamoja na Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini zimekubaliana kuzidisha ushirikiano ili kufikia uimarikaji endelevu na jumuishi kwenye sekta ya utalii.
Nchi hizo zimeeleza hayo katika taarifa ya pamoja iliyosainiwa kwenye mkutano wa mawaziri wa utalii wa nchi za BRICS iliyotolewa siku ya Jumanne mjini Cape Town.…
LUANDA - Ushirikiano wa dhati wa China na nchi za Afrika unazaa "matunda yanayoonekana na ya kuhimiza juhudi" ambayo yanaleta manufaa ya pande zote na maendeleo kwa pamoja, amesema mtaalam wa Angola.
Kwenye ushirikiano kati yake na Afrika, China imeweka msingi muhimu wa miundombinu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika bara zima, na hivyo kuleta ukuaji wa viwanda na kuongeza thamani ya kibiashara ya bara la Afrika, amesema Osvaldo Mboco, mtaalam wa uhusiano wa kimataifa wa Chuo Kikuu cha Ufundi cha Angola katika mahojiano yake kwa njia ya maandishi na Shirika la Habari la China, Xinhua kufuatia Mazungumzo ya Viongozi Wakuu wa China na Afrika yaliyofanyika Alhamisi nchini Afrika Kusini.…
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Huduma za Jamii nchini Ethiopia Mukerrim Miftah amesema, hatua ya nchi hiyo kujiunga na BRICS inatarajiwa kuchochea kidhahiri ukuaji wa uchumi na kuimarisha manufaa yake ya kunufaishana ya kikanda.
Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la China Xinhua, Miftah amesema hatua hii ni ya msingi kwa sababu kadhaa, ikiwemo kuisaidia Ethiopia kujenga ushirikiano wa nguvu wa kiuchumi na kisiasa na nchi wanachama wa BRICS, kusaidia uhusiano mzuri wa uchumi, biashara na uwekezaji kati yake na nchi mpya na zile zilizopo katika kundi la BRICS.…
Picha hii iliyopigwa Mei 22, 2023 ikionyesha mandhari ya kiwanda cha Teknolojia ya Tairi cha General cha Cambodia katika Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) katika Mkoa wa Preah Sihanouk, Cambodia. (Picha na Ly Lay/Xinhua)
PHNOM PENH - Thamani ya uagizaji na uuzaji nje wa bidhaa kupitia Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) nchini Cambodia ilifikia dola za kimarekani bilioni 3.…
Nchi wanachama wa BRICS ambazo ni pamoja na Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini zimekubaliana kuzidisha ushirikiano ili kufikia uimarikaji endelevu na jumuishi kwenye sekta ya utalii.
Nchi hizo zimeeleza hayo katika taarifa ya pamoja iliyosainiwa kwenye mkutano wa mawaziri wa utalii wa nchi za BRICS iliyotolewa siku ya Jumanne mjini Cape Town.…
LUANDA - Ushirikiano wa dhati wa China na nchi za Afrika unazaa "matunda yanayoonekana na ya kuhimiza juhudi" ambayo yanaleta manufaa ya pande zote na maendeleo kwa pamoja, amesema mtaalam wa Angola.
Kwenye ushirikiano kati yake na Afrika, China imeweka msingi muhimu wa miundombinu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika bara zima, na hivyo kuleta ukuaji wa viwanda na kuongeza thamani ya kibiashara ya bara la Afrika, amesema Osvaldo Mboco, mtaalam wa uhusiano wa kimataifa wa Chuo Kikuu cha Ufundi cha Angola katika mahojiano yake kwa njia ya maandishi na Shirika la Habari la China, Xinhua kufuatia Mazungumzo ya Viongozi Wakuu wa China na Afrika yaliyofanyika Alhamisi nchini Afrika Kusini.…
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Huduma za Jamii nchini Ethiopia Mukerrim Miftah amesema, hatua ya nchi hiyo kujiunga na BRICS inatarajiwa kuchochea kidhahiri ukuaji wa uchumi na kuimarisha manufaa yake ya kunufaishana ya kikanda.
Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la China Xinhua, Miftah amesema hatua hii ni ya msingi kwa sababu kadhaa, ikiwemo kuisaidia Ethiopia kujenga ushirikiano wa nguvu wa kiuchumi na kisiasa na nchi wanachama wa BRICS, kusaidia uhusiano mzuri wa uchumi, biashara na uwekezaji kati yake na nchi mpya na zile zilizopo katika kundi la BRICS.…
Picha hii iliyopigwa Mei 22, 2023 ikionyesha mandhari ya kiwanda cha Teknolojia ya Tairi cha General cha Cambodia katika Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) katika Mkoa wa Preah Sihanouk, Cambodia. (Picha na Ly Lay/Xinhua)
PHNOM PENH - Thamani ya uagizaji na uuzaji nje wa bidhaa kupitia Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) nchini Cambodia ilifikia dola za kimarekani bilioni 3.…
Nchi wanachama wa BRICS ambazo ni pamoja na Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini zimekubaliana kuzidisha ushirikiano ili kufikia uimarikaji endelevu na jumuishi kwenye sekta ya utalii.
Nchi hizo zimeeleza hayo katika taarifa ya pamoja iliyosainiwa kwenye mkutano wa mawaziri wa utalii wa nchi za BRICS iliyotolewa siku ya Jumanne mjini Cape Town.…
LUANDA - Ushirikiano wa dhati wa China na nchi za Afrika unazaa "matunda yanayoonekana na ya kuhimiza juhudi" ambayo yanaleta manufaa ya pande zote na maendeleo kwa pamoja, amesema mtaalam wa Angola.
Kwenye ushirikiano kati yake na Afrika, China imeweka msingi muhimu wa miundombinu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika bara zima, na hivyo kuleta ukuaji wa viwanda na kuongeza thamani ya kibiashara ya bara la Afrika, amesema Osvaldo Mboco, mtaalam wa uhusiano wa kimataifa wa Chuo Kikuu cha Ufundi cha Angola katika mahojiano yake kwa njia ya maandishi na Shirika la Habari la China, Xinhua kufuatia Mazungumzo ya Viongozi Wakuu wa China na Afrika yaliyofanyika Alhamisi nchini Afrika Kusini.…
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Huduma za Jamii nchini Ethiopia Mukerrim Miftah amesema, hatua ya nchi hiyo kujiunga na BRICS inatarajiwa kuchochea kidhahiri ukuaji wa uchumi na kuimarisha manufaa yake ya kunufaishana ya kikanda.
Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la China Xinhua, Miftah amesema hatua hii ni ya msingi kwa sababu kadhaa, ikiwemo kuisaidia Ethiopia kujenga ushirikiano wa nguvu wa kiuchumi na kisiasa na nchi wanachama wa BRICS, kusaidia uhusiano mzuri wa uchumi, biashara na uwekezaji kati yake na nchi mpya na zile zilizopo katika kundi la BRICS.…
Picha hii iliyopigwa Mei 22, 2023 ikionyesha mandhari ya kiwanda cha Teknolojia ya Tairi cha General cha Cambodia katika Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) katika Mkoa wa Preah Sihanouk, Cambodia. (Picha na Ly Lay/Xinhua)
PHNOM PENH - Thamani ya uagizaji na uuzaji nje wa bidhaa kupitia Eneo Maalum la Kiuchumi la Sihanoukville (SSEZ) nchini Cambodia ilifikia dola za kimarekani bilioni 3.
Nchi wanachama wa BRICS ambazo ni pamoja na Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini zimekubaliana kuzidisha ushirikiano ili kufikia uimarikaji endelevu na jumuishi kwenye sekta ya utalii.
Nchi hizo zimeeleza hayo katika taarifa ya pamoja iliyosainiwa kwenye mkutano wa mawaziri wa utalii wa nchi za BRICS iliyotolewa siku ya Jumanne mjini Cape Town.
LUANDA - Ushirikiano wa dhati wa China na nchi za Afrika unazaa "matunda yanayoonekana na ya kuhimiza juhudi" ambayo yanaleta manufaa ya pande zote na maendeleo kwa pamoja, amesema mtaalam wa Angola.
Kwenye ushirikiano kati yake na Afrika, China imeweka msingi muhimu wa miundombinu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika bara zima, na hivyo kuleta ukuaji wa viwanda na kuongeza thamani ya kibiashara ya bara la Afrika, amesema Osvaldo Mboco, mtaalam wa uhusiano wa kimataifa wa Chuo Kikuu cha Ufundi cha Angola katika mahojiano yake kwa njia ya maandishi na Shirika la Habari la China, Xinhua kufuatia Mazungumzo ya Viongozi Wakuu wa China na Afrika yaliyofanyika Alhamisi nchini Afrika Kusini.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Huduma za Jamii nchini Ethiopia Mukerrim Miftah amesema, hatua ya nchi hiyo kujiunga na BRICS inatarajiwa kuchochea kidhahiri ukuaji wa uchumi na kuimarisha manufaa yake ya kunufaishana ya kikanda.
Akizungumza katika mahojiano na Shirika la Habari la China Xinhua, Miftah amesema hatua hii ni ya msingi kwa sababu kadhaa, ikiwemo kuisaidia Ethiopia kujenga ushirikiano wa nguvu wa kiuchumi na kisiasa na nchi wanachama wa BRICS, kusaidia uhusiano mzuri wa uchumi, biashara na uwekezaji kati yake na nchi mpya na zile zilizopo katika kundi la BRICS.