Shughuli za kuadhimisha Siku ya Mazingira ya Dunia zafanyika sehemu mbalimbali nchini China (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 05, 2025
Shughuli za kuadhimisha Siku ya Mazingira ya Dunia zafanyika sehemu mbalimbali nchini China
Wanafunzi wa shule ya msingi wakisafisha uchafu kwenye Bustani ya Binhai katika Mji wa Rongcheng, Mkoa wa Shandong, mashariki mwa China, tarehe 4 Juni, 2025. (Picha na Li Xinjun/Xinhua)

Kabla ya kuwadia kwa Siku ya Mazingira ya Dunia, shughuli za kuadhimisha siku hii zimefanyika katika sehemu mbalimbali nchini China ili kuongeza uelewa wa watu juu ya ulinzi wa mazingira.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha