Shughuli za kuadhimisha Siku ya Mazingira ya Dunia zafanyika sehemu mbalimbali nchini China

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 05, 2025
Shughuli za kuadhimisha Siku ya Mazingira ya Dunia zafanyika sehemu mbalimbali nchini China
Picha hii iliyopigwa kwa droni tarehe 4 Juni, 2025 ikionyesha watu wa kujitolea wakikusanya taka kwenye Bustani ya ardhioevu mjini Tengchong, Mkoa wa Yunnan, kusini-magharibi mwa China. (Picha na Gong Zujin/Xinhua)

Kabla ya kuwadia kwa Siku ya Mazingira ya Dunia, shughuli za kuadhimisha siku hii zimefanyika katika sehemu mbalimbali nchini China ili kuongeza uelewa wa watu juu ya ulinzi wa mazingira.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha