Shughuli za kuadhimisha Siku ya Mazingira ya Dunia zafanyika sehemu mbalimbali nchini China (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 05, 2025
Shughuli za kuadhimisha Siku ya Mazingira ya Dunia zafanyika sehemu mbalimbali nchini China
Wahadhiri na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Xinan cha China wakipima ubora wa maji ya ziwa ili kujua hali ya maji kwenye kampasi ya chuo hicho mjini Chongqing, kusini-magharibi mwa China, Juni 4, 2025. (Picha na Qin Tingfu/Xinhua)

Kabla ya kuwadia kwa Siku ya Mazingira ya Dunia, shughuli za kuadhimisha siku hii zimefanyika katika sehemu mbalimbali nchini China ili kuongeza uelewa wa watu juu ya ulinzi wa mazingira.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha