Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Bw. Zhao Lijian ametangaza kuwa China imeamua kumzuia mjumbe wa Kamati ya uhuru wa kidini ya kimataifa ya Marekani Johnnie Moore na jamaa zake kuingia China bara, Hongkong na Macau. Bw. Zhao amesema hayo alipokuwa akizungumzia ripoti ya kimataifa ya mwaka 2020 juu ya kuamini dini inayohusu hatua ya kumuwekea vikwazo ofisa mmoja wa China ambayo ilitangazwa hivi karibuni na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Bw. Zhao pia amesema China inaihimiza Mare
Habari kutoka tovuti ya rais ya Russia leo zinasema, rais Vladmir Putin wa Russia na mwenzake Joe Biden wa Marekani watakutana mjini Geneva, Uswis mnamo tarehe 16 Juni. Habari zinasema kuwa, marais hao wawili watajadiliana hali ya sasa ya uhusiano kati ya nchi hizo mbili na mustakabali wake, utulivu wa kimkakati, ushirikiano kuhusu mapambano dhidi ya COVID-19 na kusuluhisha mgogoro wa kikanda.
CNN imeripoti kuwa, kutoka reli ya kwanza ya mwaka 2008 hadi kuwa namba moja duniani kwa kuwa na reli yenye maili nyingi, reli ya kasi ya China imeonesha nguvu ya uchumi ya nchi, upanuzi wa kasi, ukuaji wa ujuzi wa teknolojia na kuongezeka kwa ustawi. Akinukuliwa na CNN, mtafiti kwenye taasisi ya China ya Chuo Kikuu cha London, Olivia Cheung amesema, mtandao wa reli sio tu umesaidia kuunganisha soko kubwa la taifa, lakini umeonesha maendeleo yaliyoratibiwa katika mikoa yote, ambayo ni dhana mu
Tamasha la 17 la Kimataifa la Dansi la Agogo lafanyika Benin
Kijiji cha Mkoa wa Zhejiang, China chakarabati upya matanuri ya kuchomea chokaa yaliyoachwa kwa kuchochea uchumi wa utalii
Wanyamapori wakiwa kwenye Hifadhi ya Taifa ya Amboseli ya Kenya
Bata maji wa kuhamahama zaidi ya 6,000 wawasili kwa wingi Rongcheng, China kufurahia majira ya baridi
Kuielewa China | Ajenda na malengo ya Mpango wa 15 wa Miaka Mitano
Uzuri wa Majira: Theluji Ndogo
Uzuri wa Majira: Mwanzo wa Majira ya Baridi
Uzuri wa Majira: Kushuka kwa Jalidi
Uzuri wa Majira: Xiaoman