Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Bw. Zhao Lijian ametangaza kuwa China imeamua kumzuia mjumbe wa Kamati ya uhuru wa kidini ya kimataifa ya Marekani Johnnie Moore na jamaa zake kuingia China bara, Hongkong na Macau. Bw. Zhao amesema hayo alipokuwa akizungumzia ripoti ya kimataifa ya mwaka 2020 juu ya kuamini dini inayohusu hatua ya kumuwekea vikwazo ofisa mmoja wa China ambayo ilitangazwa hivi karibuni na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Bw. Zhao pia amesema China inaihimiza Mare
Habari kutoka tovuti ya rais ya Russia leo zinasema, rais Vladmir Putin wa Russia na mwenzake Joe Biden wa Marekani watakutana mjini Geneva, Uswis mnamo tarehe 16 Juni. Habari zinasema kuwa, marais hao wawili watajadiliana hali ya sasa ya uhusiano kati ya nchi hizo mbili na mustakabali wake, utulivu wa kimkakati, ushirikiano kuhusu mapambano dhidi ya COVID-19 na kusuluhisha mgogoro wa kikanda.
CNN imeripoti kuwa, kutoka reli ya kwanza ya mwaka 2008 hadi kuwa namba moja duniani kwa kuwa na reli yenye maili nyingi, reli ya kasi ya China imeonesha nguvu ya uchumi ya nchi, upanuzi wa kasi, ukuaji wa ujuzi wa teknolojia na kuongezeka kwa ustawi. Akinukuliwa na CNN, mtafiti kwenye taasisi ya China ya Chuo Kikuu cha London, Olivia Cheung amesema, mtandao wa reli sio tu umesaidia kuunganisha soko kubwa la taifa, lakini umeonesha maendeleo yaliyoratibiwa katika mikoa yote, ambayo ni dhana mu
UNESCO latoa wito upya wa kuimarishwa ulinzi wa maeneo ya urithi ya Afrika
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
Maonyesho ya Magari ya Shanghai 2025 yaanza Shanghai, China
Simulizi kuhusu urithi wa kale--Nguo Sehemu ya Kwanza
Mchanuo wa Maua ya Rapa yenye Rangi ya Dhahabu Wachochea Utalii wa Wilaya ya Tongzi, China
Uzuri wa Majira: Kipindi cha Chunfen
Uzuri wa Majira: Kuamka kwa Wadudu
Uzuri wa Majira: Kipindi cha Maji ya Mvua