CNN imeripoti kuwa, kutoka reli ya kwanza ya mwaka 2008 hadi kuwa namba moja duniani kwa kuwa na reli yenye maili nyingi, reli ya kasi ya China imeonesha nguvu ya uchumi ya nchi, upanuzi wa kasi, ukuaji wa ujuzi wa teknolojia na kuongezeka kwa ustawi. Akinukuliwa na CNN, mtafiti kwenye taasisi ya China ya Chuo Kikuu cha London, Olivia Cheung amesema, mtandao wa reli sio tu umesaidia kuunganisha soko kubwa la taifa, lakini umeonesha maendeleo yaliyoratibiwa katika mikoa yote, ambayo ni dhana mu
Uchumi wa usiku wa China washamiri katika maeneo mbalimbali
Mji wa Roma, Italia waadhimisha miaka 2,777 tangu kuanzishwa kwake
Picha: Bidhaa za kitamaduni kuhusu mabaki ya ajabu ya kale Sanxingdui zaonekana kwenye CICPE
Watu washerehekea sikukuu ya kumwagiana maji Mkoani Yunnan, Kusini Magharibi mwa China
Video: Balozi Ali Mchumo aeleza alivyoshuhudia mabadiliko makubwa ya China na kupongeza uhusiano wa miaka 60 wa China-Tanzania
Video: Mimi ni Ustaarabu wa China
Video: Simulizi za demokrasia
Wilaya ya Caoxian: Kueneza uzuri wa China na kuhimiza wimbi la mavazi ya kijadi ya Hanfu ya Kabila la Wahan
Kuhisi msisimko wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China kwenye soko la Mwaka Mpya la Beijing