BEIJING - Lin Jian, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema kwamba, kwa kuwa mlipuko wa Ebola bado unaenea barani Afrika, China itaendelea kuzisaidia nchi za Afrika na kutoa uungaji mkono unaohitajika ili mlipuko huo uweze kukomeshwa mapema iwezekanavyo.
Lin ameyasema hayo jana Jumanne alipokuwa akijibu swali kuhusu timu ya tatu ya wataalamu wa matibabu iliyotumwa na serikali ya China iliyofika Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Agosti 1.…
Wageni wakipiga picha ya pamoja na wanafunzi wa kozi ya mafunzo baada ya hafla ya uzinduzi, Yaounde, Cameroon, Agosti 3, 2026. (Xinhua/Kepseu)
YAOUNDE – Kampuni ya Uhandisi ya First Highway ya China (CFHEC) imezindua mpango wa mafunzo uliopewa jina la Mpango wa Vipaji wa Seagull jana Jumatatu ili kujenga utaalamu wa wenyeji nchini Cameroon.…
Kampuni mbalimbali za China zinashiriki kwenye Maonyesho ya Umeme na Nishati ya Afrika na Maonyesho ya Nishati ya Jua ya Afrika yanayofanyika kuanzia Tarehe 29 hadi 31 Julai jijini Nairobi, Kenya.
Kampuni hizo zinaonesha teknolojia mpya na uvumbuzi katika umeme unaozalishwa kwa nishati ya jua, uhifadhi wa nishati na zana na vifaa vya umeme ili kusaidia kuhimiza miundombinu ya nishati barani Afrika ipandishwe ngazi mpya.…
ADDIS ABABA - China na Afrika zimezindua mipango ya ushirikiano wa kimatibabu mjini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia jana Jumatatu, inayolenga kuzifanya huduma za afya ya umma barani humo kuwa za kisasa, ikiwa ni sehemu ya kuzidisha mifumo ya ushirikiano wa kivitendo wa afya ya umma kati ya China na Afrika.
Hafla hiyo iliyoandaliwa kwa pamoja na Hospitali ya Xiangya ya Chuo Kikuu cha Kusini Kati cha China, Hospitali Kuu ya Silk Road ya Addis Ababa, na Muungano wa Hospitali wa China na Afrika, imeshuhudia uzinduzi wa Mpango wa Ushirikiano kati ya China na Afrika kwa Tiba ya Upasuaji Kidogo, pamoja na uzinduzi wa Kituo cha Mafunzo ya Upasuaji kwa Roboti kati ya China na Afrika na Kituo cha Mafunzo ya Teknolojia ya Endoskopia kati ya China na Afrika.…
Wageni wakipiga picha ya pamoja na wanafunzi wa kozi ya mafunzo baada ya hafla ya uzinduzi, Yaounde, Cameroon, Agosti 3, 2026. (Xinhua/Kepseu)
YAOUNDE – Kampuni ya Uhandisi ya First Highway ya China (CFHEC) imezindua mpango wa mafunzo uliopewa jina la Mpango wa Vipaji wa Seagull jana Jumatatu ili kujenga utaalamu wa wenyeji nchini Cameroon.…
Kampuni mbalimbali za China zinashiriki kwenye Maonyesho ya Umeme na Nishati ya Afrika na Maonyesho ya Nishati ya Jua ya Afrika yanayofanyika kuanzia Tarehe 29 hadi 31 Julai jijini Nairobi, Kenya.
Kampuni hizo zinaonesha teknolojia mpya na uvumbuzi katika umeme unaozalishwa kwa nishati ya jua, uhifadhi wa nishati na zana na vifaa vya umeme ili kusaidia kuhimiza miundombinu ya nishati barani Afrika ipandishwe ngazi mpya.…
ADDIS ABABA - China na Afrika zimezindua mipango ya ushirikiano wa kimatibabu mjini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia jana Jumatatu, inayolenga kuzifanya huduma za afya ya umma barani humo kuwa za kisasa, ikiwa ni sehemu ya kuzidisha mifumo ya ushirikiano wa kivitendo wa afya ya umma kati ya China na Afrika.
Hafla hiyo iliyoandaliwa kwa pamoja na Hospitali ya Xiangya ya Chuo Kikuu cha Kusini Kati cha China, Hospitali Kuu ya Silk Road ya Addis Ababa, na Muungano wa Hospitali wa China na Afrika, imeshuhudia uzinduzi wa Mpango wa Ushirikiano kati ya China na Afrika kwa Tiba ya Upasuaji Kidogo, pamoja na uzinduzi wa Kituo cha Mafunzo ya Upasuaji kwa Roboti kati ya China na Afrika na Kituo cha Mafunzo ya Teknolojia ya Endoskopia kati ya China na Afrika.…
NAIROBI - Kiasi cha jumla cha mizigo kilichosafirishwa kwenye ya Reli ya Standard Gauge (SGR) ya Mombasa-Nairobi ya Kenya, mradi kinara chini ya ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja (BRI), kimezidi tani milioni 50 kufikia Julai 26, Kampuni ya Uendeshaji wa Reli ya Africa Star (Afristar) imesema Jumatatu.
Kampuni hiyo imesema tangu kuanza kwa uendeshaji wake Mei 31, 2017, reli hiyo ya SGR ya Mombasa-Nairobi imedumisha rekodi ya uendeshaji salama kwa siku zaidi ya 3,300 mfululizo.…
Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.…
Chuma Mohamed Muhibu, mwanafunzi Mtanzania mwenye umri wa miaka 35, kwa sasa anasoma shahada ya uzamivu (PhD) katika Sera na Vitendo vya Elimu ya Walimu (Teacher Education Policy and Practice) katika Chuo Kikuu cha Ualimu cha Beijing nchini China. Imepita miaka saba tangu alipofika China kwa mara ya kwanza mwaka 2019 kwa ajili ya masomo yake.…
Mjumbe wa Baraza la Mamlaka ya Mpito la Sudan, Abdullah Yahya amesema, Sudan na China zinafurahia uhusiano uliokita mizizi ya kina uliojengwa katika uhusiano wa kimkakati na wa kunufaishana.
Akizungumza katika tukio la “Asante, China” lililofanyika Port Sudan, mashariki mwa Sudan juzi Jumatatu, Yahya ameeleza mchango muhimu wa China katika miradi ya miundombinu nchini Sudan, hususan katika maendeleo ya barabara, madaraja, mabwawa na vituo vya kuzalisha umeme.…
Kipindi cha "Kuielewa China", kilichoandaliwa na People's Daily Online, kinalenga kufafanua mipango, fursa, na utawala wa China, kuondoa uelewa potofu, na kuongeza uelewa wa kina na utambuzi kati ya watazamaji waChina na wa kimataifa kupitia mazungumzo ya kina kati ya wasomi wa China na wa kigeni.
Uundaji wa kisayansi na utekelezaji usiositishwa wa mipango ya miaka mitano ya China vinawakilisha mbinu muhimu katika utawala wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na hutumika kama dirisha muhimu kwa jumuiya ya kimataifa kuelewa ujenzi wa mambo ya kisasa wa China.…
BEIJING - Lin Jian, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema kwamba, kwa kuwa mlipuko wa Ebola bado unaenea barani Afrika, China itaendelea kuzisaidia nchi za Afrika na kutoa uungaji mkono unaohitajika ili mlipuko huo uweze kukomeshwa mapema iwezekanavyo.
Lin ameyasema hayo jana Jumanne alipokuwa akijibu swali kuhusu timu ya tatu ya wataalamu wa matibabu iliyotumwa na serikali ya China iliyofika Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Agosti 1.…
Wageni wakipiga picha ya pamoja na wanafunzi wa kozi ya mafunzo baada ya hafla ya uzinduzi, Yaounde, Cameroon, Agosti 3, 2026. (Xinhua/Kepseu)
YAOUNDE – Kampuni ya Uhandisi ya First Highway ya China (CFHEC) imezindua mpango wa mafunzo uliopewa jina la Mpango wa Vipaji wa Seagull jana Jumatatu ili kujenga utaalamu wa wenyeji nchini Cameroon.…
Kampuni mbalimbali za China zinashiriki kwenye Maonyesho ya Umeme na Nishati ya Afrika na Maonyesho ya Nishati ya Jua ya Afrika yanayofanyika kuanzia Tarehe 29 hadi 31 Julai jijini Nairobi, Kenya.
Kampuni hizo zinaonesha teknolojia mpya na uvumbuzi katika umeme unaozalishwa kwa nishati ya jua, uhifadhi wa nishati na zana na vifaa vya umeme ili kusaidia kuhimiza miundombinu ya nishati barani Afrika ipandishwe ngazi mpya.…
ADDIS ABABA - China na Afrika zimezindua mipango ya ushirikiano wa kimatibabu mjini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia jana Jumatatu, inayolenga kuzifanya huduma za afya ya umma barani humo kuwa za kisasa, ikiwa ni sehemu ya kuzidisha mifumo ya ushirikiano wa kivitendo wa afya ya umma kati ya China na Afrika.
Hafla hiyo iliyoandaliwa kwa pamoja na Hospitali ya Xiangya ya Chuo Kikuu cha Kusini Kati cha China, Hospitali Kuu ya Silk Road ya Addis Ababa, na Muungano wa Hospitali wa China na Afrika, imeshuhudia uzinduzi wa Mpango wa Ushirikiano kati ya China na Afrika kwa Tiba ya Upasuaji Kidogo, pamoja na uzinduzi wa Kituo cha Mafunzo ya Upasuaji kwa Roboti kati ya China na Afrika na Kituo cha Mafunzo ya Teknolojia ya Endoskopia kati ya China na Afrika.…
BEIJING - Lin Jian, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema kwamba, kwa kuwa mlipuko wa Ebola bado unaenea barani Afrika, China itaendelea kuzisaidia nchi za Afrika na kutoa uungaji mkono unaohitajika ili mlipuko huo uweze kukomeshwa mapema iwezekanavyo.
Lin ameyasema hayo jana Jumanne alipokuwa akijibu swali kuhusu timu ya tatu ya wataalamu wa matibabu iliyotumwa na serikali ya China iliyofika Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Agosti 1.…
Wageni wakipiga picha ya pamoja na wanafunzi wa kozi ya mafunzo baada ya hafla ya uzinduzi, Yaounde, Cameroon, Agosti 3, 2026. (Xinhua/Kepseu)
YAOUNDE – Kampuni ya Uhandisi ya First Highway ya China (CFHEC) imezindua mpango wa mafunzo uliopewa jina la Mpango wa Vipaji wa Seagull jana Jumatatu ili kujenga utaalamu wa wenyeji nchini Cameroon.…
Kampuni mbalimbali za China zinashiriki kwenye Maonyesho ya Umeme na Nishati ya Afrika na Maonyesho ya Nishati ya Jua ya Afrika yanayofanyika kuanzia Tarehe 29 hadi 31 Julai jijini Nairobi, Kenya.
Kampuni hizo zinaonesha teknolojia mpya na uvumbuzi katika umeme unaozalishwa kwa nishati ya jua, uhifadhi wa nishati na zana na vifaa vya umeme ili kusaidia kuhimiza miundombinu ya nishati barani Afrika ipandishwe ngazi mpya.…
ADDIS ABABA - China na Afrika zimezindua mipango ya ushirikiano wa kimatibabu mjini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia jana Jumatatu, inayolenga kuzifanya huduma za afya ya umma barani humo kuwa za kisasa, ikiwa ni sehemu ya kuzidisha mifumo ya ushirikiano wa kivitendo wa afya ya umma kati ya China na Afrika.
Hafla hiyo iliyoandaliwa kwa pamoja na Hospitali ya Xiangya ya Chuo Kikuu cha Kusini Kati cha China, Hospitali Kuu ya Silk Road ya Addis Ababa, na Muungano wa Hospitali wa China na Afrika, imeshuhudia uzinduzi wa Mpango wa Ushirikiano kati ya China na Afrika kwa Tiba ya Upasuaji Kidogo, pamoja na uzinduzi wa Kituo cha Mafunzo ya Upasuaji kwa Roboti kati ya China na Afrika na Kituo cha Mafunzo ya Teknolojia ya Endoskopia kati ya China na Afrika.…
BEIJING - Lin Jian, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema kwamba, kwa kuwa mlipuko wa Ebola bado unaenea barani Afrika, China itaendelea kuzisaidia nchi za Afrika na kutoa uungaji mkono unaohitajika ili mlipuko huo uweze kukomeshwa mapema iwezekanavyo.
Lin ameyasema hayo jana Jumanne alipokuwa akijibu swali kuhusu timu ya tatu ya wataalamu wa matibabu iliyotumwa na serikali ya China iliyofika Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Agosti 1.
Wageni wakipiga picha ya pamoja na wanafunzi wa kozi ya mafunzo baada ya hafla ya uzinduzi, Yaounde, Cameroon, Agosti 3, 2026. (Xinhua/Kepseu)
YAOUNDE – Kampuni ya Uhandisi ya First Highway ya China (CFHEC) imezindua mpango wa mafunzo uliopewa jina la Mpango wa Vipaji wa Seagull jana Jumatatu ili kujenga utaalamu wa wenyeji nchini Cameroon.
Kampuni mbalimbali za China zinashiriki kwenye Maonyesho ya Umeme na Nishati ya Afrika na Maonyesho ya Nishati ya Jua ya Afrika yanayofanyika kuanzia Tarehe 29 hadi 31 Julai jijini Nairobi, Kenya.
Kampuni hizo zinaonesha teknolojia mpya na uvumbuzi katika umeme unaozalishwa kwa nishati ya jua, uhifadhi wa nishati na zana na vifaa vya umeme ili kusaidia kuhimiza miundombinu ya nishati barani Afrika ipandishwe ngazi mpya.
ADDIS ABABA - China na Afrika zimezindua mipango ya ushirikiano wa kimatibabu mjini Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia jana Jumatatu, inayolenga kuzifanya huduma za afya ya umma barani humo kuwa za kisasa, ikiwa ni sehemu ya kuzidisha mifumo ya ushirikiano wa kivitendo wa afya ya umma kati ya China na Afrika.
Hafla hiyo iliyoandaliwa kwa pamoja na Hospitali ya Xiangya ya Chuo Kikuu cha Kusini Kati cha China, Hospitali Kuu ya Silk Road ya Addis Ababa, na Muungano wa Hospitali wa China na Afrika, imeshuhudia uzinduzi wa Mpango wa Ushirikiano kati ya China na Afrika kwa Tiba ya Upasuaji Kidogo, pamoja na uzinduzi wa Kituo cha Mafunzo ya Upasuaji kwa Roboti kati ya China na Afrika na Kituo cha Mafunzo ya Teknolojia ya Endoskopia kati ya China na Afrika.