Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka" inatia nanga katika Bandari ya Urafiki huko Nouakchott, Mauritania, tarehe 15 Septemba 2026. (Xinhua/Xie Jianfei)
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka (Auspicious Ark)" iliwasili Jumanne nchini Mauritania kwa ziara ya kirafiki ya siku saba, ambapo itatoa huduma za matibabu.…
China imeendelea kuwa nchi mshirika mkubwa zaidi wa biashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika robo ya pili (Q2) ya 2026, wakati thamani ya jumla ya biashara zake na eneo hilo ikikua kwa asilimia 37 ikilinganishwa na mwaka jana na kufikia dola bilioni 52.3.…
Katibu Mkuu wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi ya Afrika Kusini, Mlungisi Cele, amesema Afrika Kusini inatafuta ushirikiano wa kina zaidi na China kwenye sayansi, teknolojia na uvumbuzi, kufuatia ushiriki wake katika Kongamano la 19 la Uvumbuzi la Pujiang mjini Shanghai.
Bw.…
Droni zikipangiliwa kuonesha tendo la kushikana mikono na Ukuta Mkuu wa China kwenye maonesho ya mwanga wa taa za droni, Gaborone, Botswana, Septemba 8, 2026. (Xinhua/Tshekiso Tebalo)
GABORONE - Maonesho ya mwanga wa taa za droni 500 zilizopangiliwa kwa maumbo maaulum Jumanne usiku wiki hii yalivutia mamia ya watazamaji kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha Botswana huko Gaborone, mji mkuu wa Botswana, ili kuonesha urafiki na mabadilishano kati ya watu wa China na Botswana.…
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka" inatia nanga katika Bandari ya Urafiki huko Nouakchott, Mauritania, tarehe 15 Septemba 2026. (Xinhua/Xie Jianfei)
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka (Auspicious Ark)" iliwasili Jumanne nchini Mauritania kwa ziara ya kirafiki ya siku saba, ambapo itatoa huduma za matibabu.…
Droni zikipangiliwa kuonesha tendo la kushikana mikono na Ukuta Mkuu wa China kwenye maonesho ya mwanga wa taa za droni, Gaborone, Botswana, Septemba 8, 2026. (Xinhua/Tshekiso Tebalo)
GABORONE - Maonesho ya mwanga wa taa za droni 500 zilizopangiliwa kwa maumbo maaulum Jumanne usiku wiki hii yalivutia mamia ya watazamaji kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha Botswana huko Gaborone, mji mkuu wa Botswana, ili kuonesha urafiki na mabadilishano kati ya watu wa China na Botswana.…
Wageni wakisherehekea uzinduzi wa huduma ya malipo ya moja kwa moja kwa RMB ya Benki ya Stanbic Tanzania jijini Dar es Salaam, Tanzania, Agosti 12, 2026. (Xinhua/Nurdin Pallangyo)
NAIROBI - Sarafu ya China, renminbi (RMB), inabeba jukumu kubwa zaidi barani Afrika wakati huu ambapo biashara na Afrika ikistawi.…
Picha hii iliyopigwa kwa simu ya mkononi ikimwonesha Kaimu Waziri wa Afya wa Zanzibar Saada Mkuya Salum (wa pili, kulia) akikabidhi cheti cha heshima kwa kundi la tatu la wataalamu chini ya awamu ya pili ya mradi wa kuzuia na kudhibiti kichocho unaosaidiwa na China, visiwani Zanzibar, Tanzania, Agosti 31, 2026. (Timu ya Wataalamu wa Mradi wa Kuzuia na Kudhibiti Kichocho unaosaidiwa na China/kupitia Xinhua)
DAR ES SALAAM - Wizara ya Afya ya Tanzania Zanzibar imewapongeza Kundi la 35 la timu ya madaktari wa China visiwani Zanzibar na kundi la tatu la wataalamu chini ya awamu ya pili ya mradi wa kuzuia na kudhibiti kichocho unaosaidiwa na China kwa mchango wao kwa sekta ya afya ya visiwa hivyo.…
BEIJING —Septemba 2, Semina juu ya Stadi za Eneo la Afrika Kuhudumia Mikakati ya Kitaifa na Ujengaji wa Uwezo wa Mawasiliano ya Kimataifa wa Taasisi ya Washauri Bingwa wa China-Afrika ilifanyika Beijing. Miongoni mwa washiriki alikuwa Liu Hongwu, Mkuu wa Taasisi ya Stadi za Afrika katika Chuo Kikuu cha Ualimu cha Zhejiang, ambaye ametumia miongo minne akifanya stadi mbalimbali kuhusu Afrika.…
Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.…
Chuma Mohamed Muhibu, mwanafunzi Mtanzania mwenye umri wa miaka 35, kwa sasa anasoma shahada ya uzamivu (PhD) katika Sera na Vitendo vya Elimu ya Walimu (Teacher Education Policy and Practice) katika Chuo Kikuu cha Ualimu cha Beijing nchini China. Imepita miaka saba tangu alipofika China kwa mara ya kwanza mwaka 2019 kwa ajili ya masomo yake.…
Mjumbe wa Baraza la Mamlaka ya Mpito la Sudan, Abdullah Yahya amesema, Sudan na China zinafurahia uhusiano uliokita mizizi ya kina uliojengwa katika uhusiano wa kimkakati na wa kunufaishana.
Akizungumza katika tukio la “Asante, China” lililofanyika Port Sudan, mashariki mwa Sudan juzi Jumatatu, Yahya ameeleza mchango muhimu wa China katika miradi ya miundombinu nchini Sudan, hususan katika maendeleo ya barabara, madaraja, mabwawa na vituo vya kuzalisha umeme.…
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka" inatia nanga katika Bandari ya Urafiki huko Nouakchott, Mauritania, tarehe 15 Septemba 2026. (Xinhua/Xie Jianfei)
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka (Auspicious Ark)" iliwasili Jumanne nchini Mauritania kwa ziara ya kirafiki ya siku saba, ambapo itatoa huduma za matibabu.…
China imeendelea kuwa nchi mshirika mkubwa zaidi wa biashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika robo ya pili (Q2) ya 2026, wakati thamani ya jumla ya biashara zake na eneo hilo ikikua kwa asilimia 37 ikilinganishwa na mwaka jana na kufikia dola bilioni 52.3.…
Katibu Mkuu wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi ya Afrika Kusini, Mlungisi Cele, amesema Afrika Kusini inatafuta ushirikiano wa kina zaidi na China kwenye sayansi, teknolojia na uvumbuzi, kufuatia ushiriki wake katika Kongamano la 19 la Uvumbuzi la Pujiang mjini Shanghai.
Bw.…
Droni zikipangiliwa kuonesha tendo la kushikana mikono na Ukuta Mkuu wa China kwenye maonesho ya mwanga wa taa za droni, Gaborone, Botswana, Septemba 8, 2026. (Xinhua/Tshekiso Tebalo)
GABORONE - Maonesho ya mwanga wa taa za droni 500 zilizopangiliwa kwa maumbo maaulum Jumanne usiku wiki hii yalivutia mamia ya watazamaji kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha Botswana huko Gaborone, mji mkuu wa Botswana, ili kuonesha urafiki na mabadilishano kati ya watu wa China na Botswana.…
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka" inatia nanga katika Bandari ya Urafiki huko Nouakchott, Mauritania, tarehe 15 Septemba 2026. (Xinhua/Xie Jianfei)
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka (Auspicious Ark)" iliwasili Jumanne nchini Mauritania kwa ziara ya kirafiki ya siku saba, ambapo itatoa huduma za matibabu.…
China imeendelea kuwa nchi mshirika mkubwa zaidi wa biashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika robo ya pili (Q2) ya 2026, wakati thamani ya jumla ya biashara zake na eneo hilo ikikua kwa asilimia 37 ikilinganishwa na mwaka jana na kufikia dola bilioni 52.3.…
Katibu Mkuu wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi ya Afrika Kusini, Mlungisi Cele, amesema Afrika Kusini inatafuta ushirikiano wa kina zaidi na China kwenye sayansi, teknolojia na uvumbuzi, kufuatia ushiriki wake katika Kongamano la 19 la Uvumbuzi la Pujiang mjini Shanghai.
Bw.…
Droni zikipangiliwa kuonesha tendo la kushikana mikono na Ukuta Mkuu wa China kwenye maonesho ya mwanga wa taa za droni, Gaborone, Botswana, Septemba 8, 2026. (Xinhua/Tshekiso Tebalo)
GABORONE - Maonesho ya mwanga wa taa za droni 500 zilizopangiliwa kwa maumbo maaulum Jumanne usiku wiki hii yalivutia mamia ya watazamaji kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha Botswana huko Gaborone, mji mkuu wa Botswana, ili kuonesha urafiki na mabadilishano kati ya watu wa China na Botswana.…
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka" inatia nanga katika Bandari ya Urafiki huko Nouakchott, Mauritania, tarehe 15 Septemba 2026. (Xinhua/Xie Jianfei)
Meli ya hospitali ya Jeshi la Majini la China, inayoitwa "Meli ya Baraka (Auspicious Ark)" iliwasili Jumanne nchini Mauritania kwa ziara ya kirafiki ya siku saba, ambapo itatoa huduma za matibabu.
China imeendelea kuwa nchi mshirika mkubwa zaidi wa biashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) katika robo ya pili (Q2) ya 2026, wakati thamani ya jumla ya biashara zake na eneo hilo ikikua kwa asilimia 37 ikilinganishwa na mwaka jana na kufikia dola bilioni 52.3.
Katibu Mkuu wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi ya Afrika Kusini, Mlungisi Cele, amesema Afrika Kusini inatafuta ushirikiano wa kina zaidi na China kwenye sayansi, teknolojia na uvumbuzi, kufuatia ushiriki wake katika Kongamano la 19 la Uvumbuzi la Pujiang mjini Shanghai.
Bw.
Droni zikipangiliwa kuonesha tendo la kushikana mikono na Ukuta Mkuu wa China kwenye maonesho ya mwanga wa taa za droni, Gaborone, Botswana, Septemba 8, 2026. (Xinhua/Tshekiso Tebalo)
GABORONE - Maonesho ya mwanga wa taa za droni 500 zilizopangiliwa kwa maumbo maaulum Jumanne usiku wiki hii yalivutia mamia ya watazamaji kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha Botswana huko Gaborone, mji mkuu wa Botswana, ili kuonesha urafiki na mabadilishano kati ya watu wa China na Botswana.