Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.…
Wajumbe wa kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara wakimwelekeza mwanafunzi mbinu za ufufuaji wa moyo na mapafu (CPR) shuleni jijini Dar es Salaam, Tanzania, Juni 1, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman)
DAR ES SALAAM - Kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara limefanya shughuli ya huduma ya matibabu bila malipo jana Jumatatu katika shule jijini Dar es Salaam, likitoa mashauriano na elimu ya afya ya umma bila malipo kwa walimu na wanafunzi.…
ZANZIBAR - Asubuhi ya Jumamosi yenye mwanga angavu huko Kombeni, nje kidogo ya Jiji la Zanzibar, Tanzania, mfanyakazi wa ulinzi mwenye umri wa miaka 71 Amin Maulid Juma alitoka kwenye Kliniki ya Sinai akiwa na hisia mpya ya unafuu na shukrani.
Kwa wiki kadhaa, alikuwa amevumilia usiku mfululizo wa kukosa usingizi kutokana na maumivu ya tumbo yasiyokoma.…
DAR ES SALAAM - Saluni ya kitamaduni iliyofanyika Jumapili jioni jijini Dar es Salaam, Tanzania iliwaleta pamoja wasanii kutoka China na Tanzania na kuonyesha dhahiri ubadilishanaji wa kistaarabu unaolenga kuzidisha uhusiano wa kitamaduni kati ya nchi hizo mbili.
Shughuli hiyo, iliyoandaliwa na Ubalozi wa China nchini Tanzania, Kituo cha China cha Ubadilishanaji wa Kimataifa wa Kitamaduni na Kuhimiza Utalii nchini Tanzania, iliwaleta pamoja maafisa wa serikali, wasomi, wasanii, na wajumbe wa jumuiya ya Wachina nchini Tanzania.…
Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.…
Wajumbe wa kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara wakimwelekeza mwanafunzi mbinu za ufufuaji wa moyo na mapafu (CPR) shuleni jijini Dar es Salaam, Tanzania, Juni 1, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman)
DAR ES SALAAM - Kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara limefanya shughuli ya huduma ya matibabu bila malipo jana Jumatatu katika shule jijini Dar es Salaam, likitoa mashauriano na elimu ya afya ya umma bila malipo kwa walimu na wanafunzi.…
ZANZIBAR - Asubuhi ya Jumamosi yenye mwanga angavu huko Kombeni, nje kidogo ya Jiji la Zanzibar, Tanzania, mfanyakazi wa ulinzi mwenye umri wa miaka 71 Amin Maulid Juma alitoka kwenye Kliniki ya Sinai akiwa na hisia mpya ya unafuu na shukrani.
Kwa wiki kadhaa, alikuwa amevumilia usiku mfululizo wa kukosa usingizi kutokana na maumivu ya tumbo yasiyokoma.…
DAR ES SALAAM - Saluni ya kitamaduni iliyofanyika Jumapili jioni jijini Dar es Salaam, Tanzania iliwaleta pamoja wasanii kutoka China na Tanzania na kuonyesha dhahiri ubadilishanaji wa kistaarabu unaolenga kuzidisha uhusiano wa kitamaduni kati ya nchi hizo mbili.
Shughuli hiyo, iliyoandaliwa na Ubalozi wa China nchini Tanzania, Kituo cha China cha Ubadilishanaji wa Kimataifa wa Kitamaduni na Kuhimiza Utalii nchini Tanzania, iliwaleta pamoja maafisa wa serikali, wasomi, wasanii, na wajumbe wa jumuiya ya Wachina nchini Tanzania.…
Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.…
Chuma Mohamed Muhibu, mwanafunzi Mtanzania mwenye umri wa miaka 35, kwa sasa anasoma shahada ya uzamivu (PhD) katika Sera na Vitendo vya Elimu ya Walimu (Teacher Education Policy and Practice) katika Chuo Kikuu cha Ualimu cha Beijing nchini China. Imepita miaka saba tangu alipofika China kwa mara ya kwanza mwaka 2019 kwa ajili ya masomo yake.…
Mjumbe wa Baraza la Mamlaka ya Mpito la Sudan, Abdullah Yahya amesema, Sudan na China zinafurahia uhusiano uliokita mizizi ya kina uliojengwa katika uhusiano wa kimkakati na wa kunufaishana.
Akizungumza katika tukio la “Asante, China” lililofanyika Port Sudan, mashariki mwa Sudan juzi Jumatatu, Yahya ameeleza mchango muhimu wa China katika miradi ya miundombinu nchini Sudan, hususan katika maendeleo ya barabara, madaraja, mabwawa na vituo vya kuzalisha umeme.…
Kipindi cha "Kuielewa China", kilichoandaliwa na People's Daily Online, kinalenga kufafanua mipango, fursa, na utawala wa China, kuondoa uelewa potofu, na kuongeza uelewa wa kina na utambuzi kati ya watazamaji waChina na wa kimataifa kupitia mazungumzo ya kina kati ya wasomi wa China na wa kigeni.
Uundaji wa kisayansi na utekelezaji usiositishwa wa mipango ya miaka mitano ya China vinawakilisha mbinu muhimu katika utawala wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na hutumika kama dirisha muhimu kwa jumuiya ya kimataifa kuelewa ujenzi wa mambo ya kisasa wa China.…
Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.…
Chuma Mohamed Muhibu, mwanafunzi Mtanzania mwenye umri wa miaka 35, kwa sasa anasoma shahada ya uzamivu (PhD) katika Sera na Vitendo vya Elimu ya Walimu (Teacher Education Policy and Practice) katika Chuo Kikuu cha Ualimu cha Beijing nchini China. Imepita miaka saba tangu alipofika China kwa mara ya kwanza mwaka 2019 kwa ajili ya masomo yake.…
Wajumbe wa kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara wakimwelekeza mwanafunzi mbinu za ufufuaji wa moyo na mapafu (CPR) shuleni jijini Dar es Salaam, Tanzania, Juni 1, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman)
DAR ES SALAAM - Kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara limefanya shughuli ya huduma ya matibabu bila malipo jana Jumatatu katika shule jijini Dar es Salaam, likitoa mashauriano na elimu ya afya ya umma bila malipo kwa walimu na wanafunzi.…
ZANZIBAR - Asubuhi ya Jumamosi yenye mwanga angavu huko Kombeni, nje kidogo ya Jiji la Zanzibar, Tanzania, mfanyakazi wa ulinzi mwenye umri wa miaka 71 Amin Maulid Juma alitoka kwenye Kliniki ya Sinai akiwa na hisia mpya ya unafuu na shukrani.
Kwa wiki kadhaa, alikuwa amevumilia usiku mfululizo wa kukosa usingizi kutokana na maumivu ya tumbo yasiyokoma.…
Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.…
Chuma Mohamed Muhibu, mwanafunzi Mtanzania mwenye umri wa miaka 35, kwa sasa anasoma shahada ya uzamivu (PhD) katika Sera na Vitendo vya Elimu ya Walimu (Teacher Education Policy and Practice) katika Chuo Kikuu cha Ualimu cha Beijing nchini China. Imepita miaka saba tangu alipofika China kwa mara ya kwanza mwaka 2019 kwa ajili ya masomo yake.…
Wajumbe wa kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara wakimwelekeza mwanafunzi mbinu za ufufuaji wa moyo na mapafu (CPR) shuleni jijini Dar es Salaam, Tanzania, Juni 1, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman)
DAR ES SALAAM - Kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara limefanya shughuli ya huduma ya matibabu bila malipo jana Jumatatu katika shule jijini Dar es Salaam, likitoa mashauriano na elimu ya afya ya umma bila malipo kwa walimu na wanafunzi.…
ZANZIBAR - Asubuhi ya Jumamosi yenye mwanga angavu huko Kombeni, nje kidogo ya Jiji la Zanzibar, Tanzania, mfanyakazi wa ulinzi mwenye umri wa miaka 71 Amin Maulid Juma alitoka kwenye Kliniki ya Sinai akiwa na hisia mpya ya unafuu na shukrani.
Kwa wiki kadhaa, alikuwa amevumilia usiku mfululizo wa kukosa usingizi kutokana na maumivu ya tumbo yasiyokoma.…
Balozi wa Burundi nchini China, ambaye pia ni mwakilishi wa nchi inayoshikilia uenyekiti wa zamu wa Umoja wa Afrika, Télesphore Irambona, ametangaza kwamba Ubalozi wa Burundi mjini Beijing utafanya Wiki ya Utamaduni wa Burundi ambayo ni ya kwanza kabisa kufanyika, ikihusisha shughuli mbalimbali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ofisi za Ubalozi wa Burundi Juni 12, Balozi Irambona alieleza kuwa mfululizo wa shughuli za Wiki hiyo ya Utamaduni wa Burundi zenye kaulimbiu isemayo "Ngoma Takatifu ya Burundi (Ingoma) Inapoimarisha Uhusiano wa Kiutamaduni kati ya China na Afrika" zitafanyika jijini Beijing kuanzia tarehe 28 Juni hadi tarehe 1 Julai, zikihusisha kwa sehemu kubwa maonyesho ya kiutamaduni, kongamano la uwekezaji, na maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Burundi.
Chuma Mohamed Muhibu, mwanafunzi Mtanzania mwenye umri wa miaka 35, kwa sasa anasoma shahada ya uzamivu (PhD) katika Sera na Vitendo vya Elimu ya Walimu (Teacher Education Policy and Practice) katika Chuo Kikuu cha Ualimu cha Beijing nchini China. Imepita miaka saba tangu alipofika China kwa mara ya kwanza mwaka 2019 kwa ajili ya masomo yake.
Wajumbe wa kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara wakimwelekeza mwanafunzi mbinu za ufufuaji wa moyo na mapafu (CPR) shuleni jijini Dar es Salaam, Tanzania, Juni 1, 2026. (Xinhua/Emmanuel Herman)
DAR ES SALAAM - Kundi la 28 la timu ya madaktari ya China katika Tanzania Bara limefanya shughuli ya huduma ya matibabu bila malipo jana Jumatatu katika shule jijini Dar es Salaam, likitoa mashauriano na elimu ya afya ya umma bila malipo kwa walimu na wanafunzi.
ZANZIBAR - Asubuhi ya Jumamosi yenye mwanga angavu huko Kombeni, nje kidogo ya Jiji la Zanzibar, Tanzania, mfanyakazi wa ulinzi mwenye umri wa miaka 71 Amin Maulid Juma alitoka kwenye Kliniki ya Sinai akiwa na hisia mpya ya unafuu na shukrani.
Kwa wiki kadhaa, alikuwa amevumilia usiku mfululizo wa kukosa usingizi kutokana na maumivu ya tumbo yasiyokoma.