Cristiano Ronaldo anaripotiwa kutaka kukatiza hatma yake na Juventus na kuwa huru kurejea Man United. Mreno huyo anakumbana na hatma finyu na miamba hao wa Italia na amekuwa akihusishwa na kuondoka. Metro UK sasa inaripoti kuwa fowadi huyo anawazia kuungana tena na Mashetani Wekundu, chapisho hilo likiongezea kuwa mshindi huyo wa Ballon d'Or yuko tayari kupunguziwa mshahara wake kukamilisha hatua hiyo. Inaaminika kuwa United wanafuatilia hali yake ugani Turin ambapo akishindwa kufuzu kwa Ligi ya
Maonyesho ya Kimataifa ya Baiskeli ya China 2025 yaanza Shanghai
Shaolin Kungfu, chombo muhimu cha mawasiliano ya Utamaduni wa China na ulimwengu wa nje
Maonyesho ya Magari ya Shanghai 2025 yaanza Shanghai, China
Luoyang, mji mkuu wa Kale wa Enzi 13 za China
Simulizi kuhusu urithi wa kale--Nguo Sehemu ya Kwanza
Mchanuo wa Maua ya Rapa yenye Rangi ya Dhahabu Wachochea Utalii wa Wilaya ya Tongzi, China
Uzuri wa Majira: Kipindi cha Chunfen
Uzuri wa Majira: Kuamka kwa Wadudu
Uzuri wa Majira: Kipindi cha Maji ya Mvua