人民网首页

Mkutano wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China lamalizika

Ajenda iliyopendekezwa ya mkutano wa mwaka wa Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China watangazwa

Ajenda iliyopendekezwa ya mkutano wa nne wa wajumbe wote wa Kamati ya 14 ya kitaifa ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC), ambalo ni chombo cha juu cha mashauriano ya kisiasa cha China, imetangazwa rasmi jana Jumapili.

Guo Hongjing (wa pili kushoto) akisikiliza maoni na mapendekezo kutoka kwa wafanyakazi wenzake ndani ya bweni kwenye Kampuni ya Matairi ya Tianjin Lizhong mjini Tianjin, kaskazini mwa China, Februari 25, 2026. (Xinhua/Zhao Zishuo)

Mjumbe wa Bunge la Umma la China awasilisha sauti za viwandani za mashinani

Guo Hongjing anafanya kazi ya mkuu wa timu ya vipuri vya vifaa katika idara ya ghala ya Kampuni ya Matairi ya Tianjin Lizhong mjini Tianjin, kaskazini mwa China. Kazi yake ya kila siku ni kupokea, kutoa na kukagua raslimali ndani ya ghala.…

Wang Huning, mjumbe wa kudumu wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC), akiongoza  kikao cha kufungwa cha mkutano wa 15 wa Kamati ya Kudumu ya  Baraza la 14 la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China na kutoa hotuba kwenye mkutano huo mjini Beijing, China, Machi 2, 2026. (Xinhua/Ding Lin)

Mkutano wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China lamalizika

Wang Huning, mjumbe wa kudumu wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC), akiongoza kikao cha kufungwa cha mkutano wa 15 wa Kamati ya Kudumu ya kamati ya kitaifa ya CPPCC na kutoa hotuba kwenye kikao hicho mjini Beijing, China, Machi 2, 2026. (Xinhua/Ding Lin) BEIJING - Mkutano wa 15 wa Kamati ya Kudumu ya kamati ya kitaifa ya 14 ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC), ambalo ni chombo kikuu cha ushauri wa kisiasa cha China, umefungwa jana Jumatatu mjini Beijing.…

Zhang Fan (kulia) akikagua kituo cha utafiti cha Kundi la Zana na Vifaa vya Umeme la China mjini Shanghai, mashariki mwa China, Januari 27, 2026. (Xinhua/Liu Ying)

Mjumbe wa Bunge la Umma la China atoa wito wa maendeleo ya "AI pamoja na viwanda"

Zhang Fan ni naibu meneja mkuu wa Kundi la Zana na Vifaa vya Umeme la China ambaye pia ni mjumbe wa Bunge la Umma la China (NPC). Zhang anaona kuwa "teknolojia ya AI pamoja na viwanda vya utengenezaji bidhaa" vitaweza kutimizwa kwa kupitia kufanya mpango wa jumla kuhusu utendaji wa pande mbalimbali na kwenye ngazi tofauti.…

Ajenda iliyopendekezwa ya mkutano wa mwaka wa Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la China watangazwa

BEIJING - Ajenda iliyopendekezwa ya mkutano wa nne wa wajumbe wote wa Kamati ya 14 ya kitaifa ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC), ambalo ni chombo cha juu cha mashauriano ya kisiasa cha China, imetangazwa rasmi jana Jumapili. Mkutano huo wa nne wa CPPCC utafunguliwa rasmi Machi 4 mjini Beijing, kwa mujibu wa uamuzi uliofanywa kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya kamati ya kitaifa ya baraza hilo siku hiyo ya Jumapili.…