人民网首页

Rais Xi ahimiza mikoa yenye uchumi mkubwa kuongeza maarifa ya kutatua matatizo mapya

Viongozi wa China wahudhuria vikao vya majadiliano kwenye mkutano wa mwaka wa bunge

Viongozi waandamizi wa China jana Alhamisi walihudhuria vikao vya majadiliano kwenye mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC), bunge la kitaifa la China.

Mkutano wa nne wa Kamati ya Kitaifa ya 14 ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC)  ukifunguliwa katika Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing, Machi 4, 2026. (Xinhua/Yan Yan)

Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China laanza mkutano wa mwaka

Mkutano wa nne wa Kamati ya Kitaifa ya 14 ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC) ukifunguliwa katika Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing, Machi 4, 2026. (Xinhua/Yan Yan) BEIJING - Kamati ya Kitaifa ya 14 ya Baraza la Mashauriano ya Kisiasa la Umma la China (CPPCC), chombo cha juu cha mashauri ya kisiasa cha China, imefanya mkutano wake wa nne wa mwaka kuanzia jana Jumatano mjini Beijing ambapo Rais Xi Jinping na viongozi wengine wa Chama na serikali, wakiwemo Li Qiang, Zhao Leji, Cai Qi, Ding Xuexiang, Li Xi na Han Zheng, walihudhuria kwenye ufunguzi wa mkutano huo katika Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing.…

Lou Qinjian, msemaji wa mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC), akihudhuria mkutano na waandishi wa habari kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing Machi 4, 2026. (Xinhua/Li Xin)

Bunge la Umma la China lafanya mkutano na waandishi wa habari kabla ya mkutano wa mwaka

BEIJING - Bunge la 14 la Umma la China (NPC), chombo cha utungaji sheria cha China, limefanya mkutano na waandishi wa habari jana Jumatano, siku moja kabla ya kufunguliwa kwa mkutano wake wa mwaka. Lou Qinjian, msemaji wa mkutano huo wa nne wa Bunge la 14 la Umma, aliwaelezea waandishi wa habari juu ya hali ya mkutano huo.…

Kikao cha kufungua mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC) kikifanyika kwenye Jumba la Mikutano ya Umma mjini Beijing, mji mkuu wa China, Machi 5, 2026. (Xinhua/Wang Ye)

Bunge la Umma la China lafungua mkutano wa mwaka

Kikao cha kufungua mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC) kikifanyika kwenye Jumba la Mikutano ya Umma mjini Beijing, mji mkuu wa China, Machi 5, 2026. (Xinhua/Wang Ye) BEIJING - Bunge la 14 la Umma la China, chombo cha juu cha utungaji sheria cha China, limefungua mkutano wake wa nne leo Alhamisi asubuhi kwenye Jumba la Mikutano ya Umma la Beijing.…

Li Qiang, mjumbe wa kudumu wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa China, akijumuika na wajumbe kutoka ujumbe wa Mkoa wa Yunnan kuchunguza ripoti ya kazi ya serikali kwenye mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China mjini Beijing, Machi 5, 2026. (Xinhua/Huang Jingwen)

Viongozi wa China wahudhuria vikao vya majadiliano kwenye mkutano wa mwaka wa bunge

Li Qiang, mjumbe wa kudumu wa Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa China, akijumuika na wajumbe kutoka ujumbe wa Mkoa wa Yunnan kujadili ripoti ya kazi ya serikali kwenye mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China mjini Beijing, Machi 5, 2026. (Xinhua/Huang Jingwen) BEIJING - Viongozi waandamizi wa China jana Alhamisi walihudhuria vikao vya majadiliano kwenye mkutano wa nne wa Bunge la 14 la Umma la China (NPC), bunge la kitaifa la China.…