Tarehe 22, Juni, waziri wa utamaduni wa Misri Abdel Daim alitangaza, Maonyesho ya 52 ya Vitabu ya Kimataifa ya Cairo yatafanika kuanzia Juni 30 hadi Julai 15, na kauli mbiu ya maonyesho hayo ni "Kusoma ndiyo maisha".
(Picha inatoka tovuti ya Xinhua) Tarehe Juni 24, watazamaji wametembelea maonesho yanayofanyika kwenye ukumbi wa Kampuni ya Tatu ya Ujenzi ya China katika eneo la ujenzi wa mradi wa kwanza la Kituo cha Maonyesho cha Kitaifa (Tianjin). Siku hiyo, Kituo cha Maonyesho cha Kitaifa (Tianjin) kilifanya maonyesho yake ya kwanza -- Mkutano wa sayansi ya ujenzi wa China, na Maonyesho ya majengo ya teknolojia ya akili bandia bila uchafuzi. Maonyesho hayo yaliendelea hadi Juni 27. Maonyesho hayo yaki
Mfereji wa Pinglu mkoani Guanxi, China waingia katika maandalizi ya mwisho kwa ajili ya kufunguliwa Septemba
Droni ya kuangazia yasaidia mashine za kilimo kuvuna ngano wakati wa usiku mkoani Anhui, China
Meli kubwa ya kitalii ya pili kuundwa ndani ya China yakamilisha jaribio la kwanza la baharini
Kenya yafanya sherehe za Siku ya Madaraka
Kijana wa Marekani ajionea jukwaa la mtindo la kijijini
Vijana wa Kisiwa cha Gulangyu waandamana na ushairi
Jalidi kwenye kope zao: Kulinda usalama katika 'mji wa baridi zaidi' wa China
Mohe, 'Ncha ya Kaskazini' mwa China: Maji yanayomwagwa ghafla hubadilika kuwa barafu
Aurora angani juu ya 'Ncha ya Kaskazini' ya China: Mandhari ya bahati kwa wale wanaoishuhudia