Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Walemavu ya Beijing imefungwa jana usiku katika Uwanja wa michezo wa Taifa mjini Beijing, na rais Xi Jinping wa China na rais wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki ya Walemavu, Andrew Parsons wameshiriki kwenye sherehe ya ufungaji wa michezo hiyo.
Katika siku 9 zilizopita, wanamichezo karibu 600 kutoka nchi na sehemu 46 wameshindana kwenye uwanja wa michezo na kuonyesha moyo wa kujitegemea na kujiendeleza.…
Andrew Parsons, Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu (IPC), akihutubia ufungaji wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing 2022 kwenye Uwanja wa Taifa wa Beijing, Mji Mkuu wa China, Machi 13, 2022. (Xinhua/Wu Zhuang)
BEIJING - Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Paralimpiki (IPC) Andrew Parsons Jana Jumapili jioni ametangaza kufungwa rasmi kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing 2022.…
Tarehe 7, Machi, fainali ya mchezo wa mbio za kuteleza kwenye theluji kwa ubao na kupita vizuizi wa kiwango cha UL ilifanyika. Mwishowe mwanamchezo wa Timu ya China Ji Lijia alinyakua ubingwa, Wang Pengyao alipata nafasi ya pili, na Zhu Yonggang alipata nafasi ya tatu.…
Machi 9, Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ilifikia siku yake ya tano ya mashindano. Kwenye mashindano ya mbio za nyika za kuteleza kwenye theluji kwa kutumia magongo (kwa kukaa) ya michezo hiyo ya Olimpiki, Zheng Peng na Yang Hongqiong walishinda medali za dhahabu kwa Mbio za nyika za kuteleza kwenye theluji kwa kukaa kwa wanaume na kwa wanawake.…
Andrew Parsons, Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu (IPC), akihutubia ufungaji wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing 2022 kwenye Uwanja wa Taifa wa Beijing, Mji Mkuu wa China, Machi 13, 2022. (Xinhua/Wu Zhuang)
BEIJING - Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Paralimpiki (IPC) Andrew Parsons Jana Jumapili jioni ametangaza kufungwa rasmi kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing 2022.…
Rais Xi Jinping wa China amejibu barua iliyoandikwa na rais wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) Thomas Bach.
Katika barua yake, Rais Xi ameeleza kuwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing ya mwaka 2022 imemalizika kwa mafanikio, na China imetekeleza kikamilifu ahadi yake kwa kuandaa Michezo ya Olimpiki iliyozingatia kubana matumizi ya fedha, usalama na mizuri, na kusifiwa sana na jumuiya ya kimataifa.…
BEIJING - Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing 2022 imewavutia sana maafisa, wasomi na wanamichezo kutoka kote duniani, ambao wamesema moyo wa michezo na mshikamano uliooneshwa wakati wa michezo hiyo umetoa matumaini mengi kwa jumuiya ya kimataifa.
Mchezaji nyota wa Bosnia na Herzegovina Mirza Nikolajev alipata umaarufu miongoni mwa Wachina wengi baada ya sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing, kufutia video na picha zake zinazomwonesha akikonyeza macho yake mbele ya kamera wakati wa gwaride la wanamichezo kusambaa.…
Mwanamichezo kutoka Madagascar Mialitiana CLERC ni mmoja wa wanamichezo sita kutoka nchi tano za Afrika walioshiriki kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing, na pia ni mwanamichezo wa kwanza mwanamke kuiwakilisha Madagascar kushiriki kwenye michezo hiyo.
Hii ni mara yake ya pili kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi na nafasi yake kwenye mashindano ya Women's Giant Slalom imepanda kutoka 48 mwaka 2008 hadi 41 hapa Beijing.…
Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing imemalizika siku chache zilizopita, na viwanja vya vya michezo vya Yunding katika eneo la mashindano la Zhangjiakou mkoani Hebei vimeingia haraka kwenye kipindi cha maandalizi ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi, ambayo itafanyika hivi karibuni. (Mpiga picha:Wu Diansen/Tovuti ya Picha ya Umma).…
Reli ya Mwendokasi ya Beijing-Zhangjiakou inabeba jukumu la usafirishaji wa kuunganisha maeneo matatu ya mashindano ya michezo ya Beijing na Zhangjiakou, ili kuhakikisha huduma ya usafirishaji wakati wa siku za Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi. Kila usiku wa manane , wafanyakazi wa treni za reli hiyo wanafanya upimaji kwa pande zote juu ya treni hizo, na kufanya jitihada zote kulinda usafiri salama wa treni kwa ajili ya mashindano ya michezo ya Olimpiki.…
Picha iliyopigwa Januari 29, 2022 ikionesha maonesho ya taa kwenye Mnara wa Olimpiki wa Beijing hapa Beijing, mji mkuu wa China. (Xinhua/Ding Xu).…
Hivi karibuni, kazi ya kufunga “Mnara wa Haituo” wa Nembo ya Maduara Matano ya Olimpiki imekamilika. Mnara huo uko kwenye eneo la michezo la Yanqing la Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing, na sasa ujenzi wa mradi huo umekaribia kukamilika.…
Mwanamichezo kutoka Madagascar Mialitiana CLERC ni mmoja wa wanamichezo sita kutoka nchi tano za Afrika walioshiriki kwenye Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing, na pia ni mwanamichezo wa kwanza mwanamke kuiwakilisha Madagascar kushiriki kwenye michezo hiyo.
Hii ni mara yake ya pili kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi na nafasi yake kwenye mashindano ya Women's Giant Slalom imepanda kutoka 48 mwaka 2008 hadi 41 hapa Beijing.…
Kwaya ya watoto wakiimba wimbo wa Olimpiki wakati wa sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing kwenye Uwanja wa Michezo wa Taifa hapa Beijing, Februari 4, 2022. (Xinhua/Cao Can)
Katika usiku wa Februari 4, kwaya ya watoto 44 kutoka kaunti yenye milima mingi ya Kaskazini mwa China iliimba wimbo rasmi wa Olimpiki katika sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing 2022, wakivuta hisia za Dunia nzima kwa kujiamini katika macho yao na utulivu ya sauti zao.…
Kwenye sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing, mshika bendera wa Samoa ya Marekani Nathan Crumpton hakuhofia baridi na alionekana katika mwili wake uliotiwa mafuta bila kuvaa shati, alivaa sketi ya nyasi na makubadhi. Baada ya sherehe za ufunguzi wa michezo hiyo, alipewa jina la "mshika bendera aliyeganda zaidi kwa baridi katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi" na watazamaji wa China na wa kigeni.…
Mwanamke akiteleza kwenye theluji. (Picha inatoka IC.…
Picha iliyopigwa Februari 10, 2022 ikionesha kileta bahati cha Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya walemavu ya Beijing 2022 Shuey Rhon Rhon aliyetengenezwa kwa karatasi huko Shenyang, Mji Mkuu wa Mkoa wa Liaoning, Kaskazini Mashariki mwa China. (Xinhua/Yang Qing)
BEIJING - Kamati ya Kimataifa ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu (IPC) na Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Olimpiki na Michezo ya Olimpiki ya walemavu ya Majira ya baridi ya Beijing 2022 (BOCOG) zimefanya mkutano wao wa kwanza wa ngazi ya juu kwa njia ya video Jana Jumapili, ambapo walijadili maandalizi ya Michezo ya Olimpiki ya walemavu.…
Wachezaji wakihudhuria mkutano wa uhamasishaji wa Timu ya China ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing katika Kituo cha Usimamizi wa Michezo ya Walemavu cha China cha eneo la Shunyi, Beijing Februari 21. (Cai Yang/Xinhua)
Timu ya China ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi ya Beijing imeundwa hapa Beijing Februari 21.…
(Picha inatoka CRI.)
Mkurugenzi wa Idara ya Olimpiki ya Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa, Bw.…
(Picha inatoka CRI.)
Mbio za kukimbiza Mwenge wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing zimeanza rasmi tarehe 2 asubuhi saa tatu katika uwanja wa Bustani ya Kusini ya Hifadhi ya Misitu ya Olimpiki ya Beijing.…
Aprili 19, Mikutano ya kufanya majumuisho na kupongeza Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi na ya Walemavu ya Beijing imefanyika kwa mfanikio mjini Beijing na Mkoa wa Hebei, China ili kujifunza na kutekeleza kwa kina misingi ya hotuba aliyotoa Rais Xi Jinping wa China kwenye mkutano huo, na kufanya majumuisho kwa pande zote kuhusu uzoefu wa maandalizi ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi, na kupongeza “makundi na Watu waliotoa mchango mkubwa”.
Katibu wa kamati ya Chama ya Mji wa Beijing Bw.
Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa Thomas Bach akihutubia sherehe za ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Beijing 2022 kwenye Uwanja wa Taifa wa Beijing, nchini China Februari 20, 2022. (Xinhua/Cao Can)
GENEVA – Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC) Thomas Bach katika barua yake aliyotuma Alhamisi wiki hii ametoa shukrani zake na kuvutiwa na watu wote wa kujitolea waliohudumu wakati wa Michezo ya Olimpiki na Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya baridi ya Beijing 2022.
BEIJING - Wakati Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing 2022 ilipofungwa hapa Beijing Jumapili ya wiki iliyopita, China imetimiza ahadi yake kwa Dunia, na kutoa mchango mpya kwa malengo ya kimataifa ya Olimpiki.
Wataalamu kutoka sehemu mbalimbali za Dunia wameeleza kushukuru kwao kwa juhudi za China katika suala hilo, wakisisitiza kwamba mafanikio ya Michezo ya Olimpiki na Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya baridi ya Beijing yanadhihirisha moyo wa jumuiya yenye mustakabali wa pamoja wa binadamu.
Andrew Parsons, Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Michezo ya Olimpiki ya Walemavu (IPC), akihutubia ufungaji wa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing 2022 kwenye Uwanja wa Taifa wa Beijing, Mji Mkuu wa China, Machi 13, 2022. (Xinhua/Wu Zhuang)
BEIJING - Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Paralimpiki (IPC) Andrew Parsons Jana Jumapili jioni ametangaza kufungwa rasmi kwa Michezo ya Olimpiki ya Majira ya baridi ya Walemavu ya Beijing 2022.